Recent content by sasita

  1. S

    CCM yazidi kuhaha katika uchaguzi mkuu wa 2015

    Abdul...... Kaka hata gharika enzi ya sodoma na gomora iliwakuta watu wakiwa hawaaamini kuwa inakuja gharika. Sikushangai maana na wewe hutakuwa pekee yako ila wenye maono wameanza kuchukua hatua ili waingie katika safina. Kazi kwako action time
  2. S

    Hali si shwari, CCM haijawahi kuingia katika uchaguzi mkuu wowote kwenye hali hii!

    Hello tz, kipigo kinaanzia mitaa, kata, ubunge na president. Ccm wajiandae kisaikolojia na wale waliyopora fedha pia wajiandae kurejesha fedha kabla ya kuundwa mahakama maalumu ya mafisadi. Pia familia za mafisadi zijiandae kula dagaa chukuchuku maana watanzania watachukua kila kilicho chao...
  3. S

    Escrow kuiadhiri CCM

    ccm jamani ni sikio la kufa. bora wahusika wawajibishwe taifa linusurike na kuzuiwa misaada maana sekta zote za huduma zitakwama maana ccm walisha uza nchi marekani. bajeti yetu inategemea wahisani pamoja na rasilimali tulizo nazo. aibu. vp kwa nn tusiwang'oe?
Back
Top Bottom