Recent content by SARAS FARMS TANZANIA

  1. SARAS FARMS TANZANIA

    Tunashughulika na kuuza drip irrigation pipes

    Roller lina mita 1,500 kama zako tu, na kasema zina matundu ya 30cm na 50cm
  2. SARAS FARMS TANZANIA

    Tunashughulika na kuuza drip irrigation pipes

    Mbona Bei sana aisee?? Manake Ukichukua Tshs 600 x mita 1,500 = Tshs 900,000/= kwa Roller, Nimeangalia kule chini kabisa kwenye "Similar Threads" nimekutana na mmoja anauza kwa Tshs 250,000/= kwa Roller, nini tofauti?? Drip Irrigation Pipes zinauzwa Au wewe hilo roller moja unaongezea na nini...
  3. SARAS FARMS TANZANIA

    Msaada; Kodi Kwenye Vifaa vya Kilimo

    Za Mchana? Kweli hakuna anaejua kuhusu hili swala wadau wangu??
  4. SARAS FARMS TANZANIA

    Msaada; Kodi Kwenye Vifaa vya Kilimo

    Wadau za Jioni?? Ninatarajia kuagiza Vifaa mbalimbali vya kilimo kama vile Drip irrigation tapes na fittings zake kama Tape Plugs, PVC offtake, pia Sprinklers etc. Sasa kuna ambae ameshawahi kuagiza hivi vitu ambae anaweza kunisaidia estimates za gharama za TRA, bandari na labda Clearing...
  5. SARAS FARMS TANZANIA

    Ufugaji ni Utajiri, kilimo ni mali

    Alieelewa kilichoandikwa naomba anieleweshe na mimi
  6. SARAS FARMS TANZANIA

    Kilimo cha ufuta

    Umechunguza kwanza bei yake sokoni?? Last year maeneo hayo watu waliuza kwa Tshs 1,700/= kwa kilo bei ya shamba. Mara Nyingi heka yaweza kutoa kilo 400 - 500 ukiihudumia na ukakusanya/kuvuna vizuri.
Back
Top Bottom