hivi kina Shigella hawa wataenda wapi mjinga akierevuka? kumbuka siku hiyo i karibu sana, wewe Shigella kwa sababu unaongea pumba. kumbuka hata hao Chadema unaowatuhumu nao ni Watanzania ni tofauti tu ya kisiasa....................
kama serikali inaweza kuongea huku wananchi wamelala ni ajabu, unajua kulala kwa wananchi ni taswira ya vile wananchi walivyopigwa na maisha..........Mungu wetu atusaidie tuokoke kutoka kwa huu utumwa wa "uhousegirl"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.