Kwa hali ilivyo sasa washirikina wakubwa ni wakristo na wanasiasa bila kujali usomi wao. Na watu kama Tb Joshua ndio wamewekeza hapo hapo. Pathetic...!
Magufuli na Edo wote walienda kwa TB Joshua kabla ya harakati za uchaguzi kuanza, wote walikunywa kikombe cha Babu. Nahisi Rais wetu in "mshirikina" hivyo kuna mambo alielezwa na TB ambayo yametokea kuwa kweli hivyo anamheshimu sana na huenda atamtumia kama mshauri wake. Kama ni hivyo kama nchi...
Kwa nini tunahangaika kujaribu kutafuta maelezo ya sababu za vifo vya wanasiasa wakati huu na hata kumhusisha Mungu wakati kuna maelezo yanayojitosheleza ya kawaida ya kisayansi. Kwanza waliokufa kwa ajali Filikunjombe, Mtikila, Mtoi. Matukio hayo ya ajali wala sio coincidence. Wakati huu wa...
Natambua sana usomi wao, Asha Rose Mtengeti Migiro na ndugu zake wamepata nafasi nyingi za uteuzi serikalini. Inasemekana familia ya JK na familia ya kina Asha Rose ni marafiki wa muda mrefu. Mdogo wake Asha Rose (Radhia Mtengeti Msuya) kwa sasa ni balozi wa Tanzania Afrika kusini. Dada yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.