Recent content by SANGAPIPI

  1. S

    Yericko Nyerere atikisa Afrika, Ashinda Tuzo ya Mwandishi Bora wa Vitabu Afrika

    Usiku wa Machi 07.2026 katika jijini la Kigali nchini Rwanda, Mtanzania Yericko Nyerere ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya uandishi bora wa vitabu Barani Afrika, tuzo inayotolewa na 'Shining Stars Africa Awards' Yericko ambaye pia ni kada wa CHAUMMA alishinda kwa kura 7584 sawa na 53% alikuwa...
  2. S

    GE2025 KIGAMBONI: Yericko azindua kampeni kwa agenda nzito

    Jana Mgombea Ubunge Jimbo la Kigamboni amezindua kampeni zake, Hapa chini ni sehemu ya Hotuba yake ya uzinduzi :::::::::::::::::::: HOTUBA YA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KIGAMBONI AGENDA KUU 1. MIUNDOMBINU BARABARA: Suala la Miundombinu ya Barabara nimelipa kipaumbele cha kwanza kabisa na...
  3. S

    GE2025 Kigamboni: Yericko Nyerere kuzindua Kampeni zake 23/9/2025

    Maandalizi ya Uzinduzi wa Kampeni za Ubunge Kigamboni za Mwanajukwaa mkongwe Yericko Nyerere yamepamba moto tayari ameachia wimbo wa Kigamboni na sera zake, Wimbo👇
  4. S

    Yericko Nyerere ashinda tuzo mbili kwa mpigo Afrika 2024

    Mwandishi wa vitabu na mwanasiasa nchini, Yericko Nyerere usiku wa kuamkia leo ameshinda tuzo mbili, ikiwemo ya mwandishi bora wa vitabu Afrika. Yericko ameshinda tuzo hizo zinazojulikana kama Zikomo Awards katika vipengele vya mwandishi bora wa vitabu Afrika na kiongozi bora wa kijamii. Tuzo...
  5. S

    Yericko Nyerere ashinda tuzo ya mwandishi bora wa vitabu Afrika 2024

    Usiku wa Agosti 03.2024 katika mji wa Sandton, jijini Johannesberg Afrika Kusini, Mtanzania Yericko Nyerere ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya uandishi bora wa vitabu Barani Afrika, tuzo inayotolewa na 'Shining Stars Africa Awards' Yericko ambaye pia ni Mjumbe wa mkutano mkuu CHADEMA Taifa...
  6. S

    PreGE2025 Yericko Nyerere ashinda Uchaguzi Kigamboni

    Mdau wa Jamiiforums mwanasiasa na mwandishi bora wa Vitabu Barani Afrika 2023 ambae pia anawania tuzo ya Mwandishi Bora wa Vitabu Barani Afrika kwa 2024, bwana Yericko Nyerere ameibuka kidedea katika Uchaguzi wa Chadema Wilaya ya Kigamboni uliofanyika tarehe 27/7/2024, Yericko ameshinda nafasi...
  7. S

    PreGE2025 Isaya Mwita abwagwa kwenye uchaguzi wa CHADEMA Wilaya ya Kinondoni

    Katika hali isiyotarajiwa aliyekuwa Meya wa Jiji la Dar es Salaam kupitia Chadema Mstahiki Isaya Mwita amebwagwa vibaya sana katika Uchagizi wa Chama hicho Wilayani Kigamboni. Meya huyo anashutumiwa na Wanachadema kwamba alikitelekeza chama hicho tangu aliposhika umeya. Matokeo ya Uchaguzi huo...
  8. S

    Nani alitangulia kati ya Yeriko Nyerere na Nashon C Elia kwenye suala la ujasusi katika dola na uchumi?

    Yericko ndie mmiliki wa kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi kuanzia jina na maudhui yake, Alisajili katika mamlaka za serikali tangu 2016. Yeyote atakayeandika kitabu kwa jina la UJASUSI bila idhini au marejeo kwa Yericko atakuwa amevinja sheria. Huyo Nashoni aliiba sehemu ya maandiko ya...
  9. S

    Yericko Nyerere aandika Kitabu Kipya cha MOSCOW: Operesheni Ukraine

    Mshindi wa Tuzo ya Mwandishi bora wa vitabu barani Afrika na mdau wa JamiiForums ndugu Yericko Nyerere ametangaza leo kuachia kitabu kipya kinachoelezea vita vya Urusi kinachapishwa, Katika utangulizi wa Kitabu hicho, Yericko Nyerere anasema, Kitabu cha MOSCOW: Operesheni ya Ukraine, ni mahsusi...
  10. S

    Yericko Nyerere Mtanzania pekee anayewania tuzo ya Mwandishi bora wa Vitabu Afrika 2023

    Taasisi ya Tuzo za Zikomo Africa Award ya yenye maskani yake nchini Zambia imemtangaza kijana mtanzania ni mwanajukwaa mkongwe (mwasisi wa jf) Yericko Nyerere kuwania tuzo ya mwandishi bora wa vitabu Afrika. Yericko ni Mtanzania pekee aliyefanikiwa kuingia kwenye kinyang'anyiro hicho cha...
  11. S

    Yericko Nyerere ni nani?

    Ni mwandishi wa vitabu na ni Mrusi
  12. S

    STAR TV: Mahojiano maalum na Yericko Nyerere

    STAR TV: MAHOJIANO MAALUMU NA YERICKO NYERERE.
  13. S

    Mtanzania aingiza kitabu chake soko la WALMART Marekani

    Kutoka kwa Yericko Habari njema kwangu na kwa Watanzania nikuwa Kitabu chetu pendwa cha Ujasusi baada ya kuingia makubaliano na kampuni ya Kindle Publishers ili wauze kitabu kupitia amazon.com miaka mitano iliyopita, Sasa kimekubalika na kuingizwa kwenye soko la makampuni makubwa sita ya...
Back
Top Bottom