Recent content by sangamawe

  1. S

    IPTL/PAP: Hatuna kesi na TANESCO

    mbaya zaidi maamuzi yalitolewa na mahakama zetu wala sio nje ya nchi,tumewanyanyasa iptl vya kutosha
  2. S

    IPTL/PAP: Hatuna kesi na TANESCO

    Leo PAC KUUMBUKA NDANI YA BUNGE MADUDU YAO KUWEKWA WAZI MBELE YA WANANCHI
  3. S

    IPTL/PAP: Hatuna kesi na TANESCO

    iptl Mungu atawasimamia haki yenu haitaporwa kamwe
  4. S

    Prof. Muhongo: Sijiuzulu sakata la Escrow vinginevyo ardhi ya Tanzania itatikisika

    hujielewi kabisa madesa ndio yanayoleta uprofessor na wewe na familia yako si mtafute hayo madesa puuuuuh
  5. S

    Prof. Muhongo: Sijiuzulu sakata la Escrow vinginevyo ardhi ya Tanzania itatikisika

    usijiuzuru prof wewe ndio mitishamba ya mafisadi pale wizarani komaa nao mpaka mwisho wao fisadi haramu hawa
  6. S

    Sakata la IPTL na ESCROW: Kafulila aanza kuumbuka, sasa kusambaza umeme MW 2000 Kenya

    huo ni uongo mnaosambaza ninyi wenyewe, hakuna anayezuia isisomwe
  7. S

    Sakata la IPTL na ESCROW: Kafulila aanza kuumbuka, sasa kusambaza umeme MW 2000 Kenya

    uwezo wako ndio umefikia mwisho kufikiri?,kweli kila mpumbavu ni mjinga lakini si kila mjinga ni mpumbavu,haya endelea kuquote mdogo wangu
  8. S

    IPTL kushusha bei ya umeme kutoka sh 450 hadi sh 80 kwa Uniti

    pap/iptl kampuni ya kizalendo na uongo unaosambazwa juu yao utapotelea gizani,pigeni kazi iptl
  9. S

    IPTL kushusha bei ya umeme kutoka sh 450 hadi sh 80 kwa Uniti

    Iptl kwenye ukweli uongo hujitenga mungu atawasimamia
  10. S

    IPTL kushusha bei ya umeme kutoka sh 450 hadi sh 80 kwa Uniti

    By Komando Kipensi Hayaaa hayaa weee!!!! Wana jf kama kawaida zikiwazi zimebakia saa chache kabla ya Fumanizi la Escrow Kufumaniwa na kusomwa live bungeni Hali ni Tete ukawani... Mwenyekiti wa kambi rasmi anaetuhumiwa kuwemo katika kashifa hiyo Amelazimika kuita kikao cha...
  11. S

    Tweets 3 za Dk.Wilbroad Slaa kuhusiana na kashfa ya Escrow

    By Komando Kipensi Hayaaa hayaa weee!!!! Wana jf kama kawaida zikiwazi zimebakia saa chache kabla ya Fumanizi la Escrow Kufumaniwa na kusomwa live bungeni Hali ni Tete ukawani... Mwenyekiti wa kambi rasmi anaetuhumiwa kuwemo katika kashifa hiyo Amelazimika kuita kikao cha...
  12. S

    Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

    Hivi mijitu mbona haijiulizi kipind hcho chote umeme ulikuwa unazalishwa bure au??? Watu wanadai madeni, wakati umeme mmetumia..ukila cha mtu na wewe lazima uliwe......sina maan hiyo, mwenye chake mpeni!
  13. S

    Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

    Hivi hiyo 1.6 bn unayozungumzia imetoka kwa Akaunt ya nani??,Nnavoona wengi hawajui hata wanachojadili ukija kwenye sakata la Escrow..Mtu hujui Historia ya IPTL,Hujui Escrow akaunt kwa nini ilifunguliwa na lini,hujui ilifungwa lini,hujui kipindi inafungwa kulikuwa na makubaliano yapi baina ya...
Back
Top Bottom