Recent content by sandemlondoy

  1. S

    Mshahara tarehe 20?

    Jamani mwenzenu nilikuwa nmepoteza laini ya voda sasa nikaenda kurenew. je wanaweza kuirudisha ile ya awali? nikaachana na hii mpya. maana nimepoteza details nyingi sana. Anae jua naomba msaada jaman
  2. S

    Mshahara tarehe 20?

    jamani kwani hadi leo bado haujatoka? watu tumefulia vibaya
  3. S

    Baadhi ya wasanii wa Bongo Movie Waandamana kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dar Makonda

    wanahangaika sana hao wamesha poteza mvuto mbele ya jamii xo hawawez kurudi kwa duzaini hiyo coz mwisho wa siku ninaye angalia movie ni mm so huwez nipangia movie ya kuangalia. Waangalie kazi nyingine ya kufanya hii imewashinda
Back
Top Bottom