Recent content by sande

  1. S

    All about Edward Hosea, Mwanyika

    WanaJF, tuachane na siasa, soma taarifa ya MWAKYEMBE, linganisha na majibu ya Hosea zanzibar. Kila mmoja wetu atupe majina ya wala rushwa waliotajwa na kama na katika kurasa zipi. MWAKYEMBE aishauri serikali kubadili sheria ya rushwa ili iwe sheria ya harufu na mazingira ya rushwa tuone...
  2. S

    All about Edward Hosea, Mwanyika

    Kwa mantiki hii mimi na wadau wengine ndio maana tunashawishika kukubali kuwa Mhe.HOSEA anawajibika katika sakata hili la Richmond unless aje na maelezo ya kuridhisha zaidi lakini sio kujibu wadau kwa jazba. wana JF, nimepitia hoja hii nzito kuhusu HOSEA, lakini TAARIFA ya MWAKYEMBE...
  3. S

    Baraza Jipya La Mawaziri hili hapa

    Hongera sana mh RAIS kwa barza lako ila kumuweka ndani ya baraza lako mh MARMO umechafua kabisa ,sikulaumu ila nadhani haukushauriwa vyema,MARMO ni FISADI,aliuza hadi mbuga ya wanyama ambalo ni eneo la WAHAZABE,na kuwauzia mtoto wa mfalme wa SAUDIA na kupew pesa nyingi tu kwa ajiri ya UCHAGUZI...
  4. S

    Hoseah na Richmond

    Wana JF tusipoangalia hapa baadhi ya watu watuharibia maana nzima ya kuwepo JF kwa kupost vitu ambavyo havina maana wala kutujenga wana JF,kelele za TAKUKURU ni baadhi ya watumishi kutaka madaraka ambayo uwezo nayo hawana hata wakipewa,mfano huyo mkurugenzi mkuu msaidizi kusambaza ujumbe wa...
Back
Top Bottom