Recent content by San Lee

  1. San Lee

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Huelewi unacho andika maana ni kama ume copy palali na ku paste huku! Rudia kusoma copy paste zaidi ya mara tatu kisha utaona mwenyewe jinsi hakuna point zozote huko ulizo copy paste 🧐
  2. San Lee

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Kipepeo Tours, Hakuna lolote niambie umefaidika nini mpaka mda huu, kuwa muwazi tu, maana maendeleo hayo unayo yaongelea ni ya rais wa awamu ya nne na yametekelezwa awamu ya tano maana muda ulikuwa sio rafiki kwake, ila ki ukweli mimi sioni alichofanya mpaka sasa zaidi ya kudidimiza mambo
  3. San Lee

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Sijaona mtu muoga kama yeye maana akiona wapinzani wanampa changamoto anawaka sana kwenye uongoZi ni bora aache upinzani washike madaraka
  4. San Lee

    JamiiForums Tanzania Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Mwisho wake labda tufe
  5. San Lee

    JamiiForums Tanzania Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    MURUSI, Tupo kwenye ukoloni mamboleo, watu wana uroho na ulafi wa madaraka, mtu anafanya kwa ajili yake na sio kwa ajili ya wananchi kwahiyo sidhani kama kuna vitu vipya kwenye uongozi mtu anaweza kufanya zaidi ya kuendeleza alivyovikuta
  6. San Lee

    JamiiForums Tanzania Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Upo sahihi kabisaaaaaaaaa
  7. San Lee

    JamiiForums Tanzania Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Upo sahihi, kuhusu rushwa na pia kuna dhuluma ya haki kwa binadamu zaidi na yenye kukithiri
  8. San Lee

    JamiiForums Tanzania Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Yaani wanazingua sana na wanataka kiwe chama kimoja kitawale hali ya kuwa wananchi hawatakuwa na uhuru wa kuchagua mtu wanae mtaka bado tupo kwenye ukoloni hakika
  9. San Lee

    JamiiForums Tanzania Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Leo tarehe 24/November/2019 nimeenda kupiga kura kwenye serekali za mitaa ila chakustahajabisha nimekuta CCM imeshinda bila hata uchaguzi je hii ni haki kweli? Mimi ninachofahamu uchaguzi siku zote unatakiwa kuwa wa uhuru na haki tunapielekea sio pazuri kabisa jamani huu ni uonevu usio kifani...
  10. San Lee

    JamiiForums Tanzania Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Yaaani magufuli anatupeleka kushoto kwa kweliiiiii
  11. San Lee

    JamiiForums Tanzania Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Wewe una wazimu kweli juhudi gani ambazo amefanya yeye zaidi ya kudhohofishs maisha ya watanzania? Mfano halisi huu hapa hayo sio majibu sahihi kumjibu mwananchi
  12. San Lee

    JamiiForums Tanzania Matukio mengi ya muhimu huwa hayatangazwi au hutangazwa kwa taarifa chache sana

    Hakika, watu inabidi tuongee kwa pamoja maana kukaa kimya haisaidii kitu unajua
  13. San Lee

    JamiiForums Tanzania Matukio mengi ya muhimu huwa hayatangazwi au hutangazwa kwa taarifa chache sana

    Taarifa mbali mbali zilizotolewa katika wiki iliyopita au kwa undani mwenendo unaovutia na kuorodhesha matukio fulani. Walakini, kulingana na waangalizi wengine, matoleo hayo hutoa maoni kidogo katika ukweli. Hii ni kwa sababu, wanasema, vifo vingi vya kisiasa havipatikani, haswa katika jamii za...
  14. San Lee

    JamiiForums Tanzania Mkimbizi katika nchi yangu mwenyewe

    Kuna mambo mengi sana, yanayo endelea ila inabidi ifike kipindi mtu lazima uongee kwa niaba ya watu wengine. Tabia hizi zenye wasiwasi zinaweza kuonekana kama sehemu ya mabadiliko makubwa nchini Tanzania. Chini ya Rais Magufuli, nchi inaenda mbali na wafadhili wa jadi na uwazi wa kidemokrasia...
  15. San Lee

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mwaka 2020 Naenda na Rais Magufuli nani yuko pamoja nami

    *HAPANA*
Back
Top Bottom