Ronja ( mtipidii kozi imeanza kitambo yapata mwezi sasa) ajira hizi hizi za juzi kwenye email na mkononi. Tuendelea kulitumikia Taifa pendwa la Tanzania.
Ndugu yangu Kila mwajiri angetanguliza mbele kigezo Cha dini wakristo wengi wangekuwa omba omba. TOA KIPENGELE No. 2.
Tambua wafanyabiashara wakubwa wote ni waisilamu. Mimi ni roman Catholic ila nimeajiriwa na muisilamu. Je mwajiri wangu angeweka kigezo Cha dini ningekuwa omba omba na ukristo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.