Recent content by samwita

  1. samwita

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama. (Waliopitia Jakata +Wasiopitia Jakata= interview ndio itatoa majibu ya ufaulu)
  2. samwita

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Wale wa TAKUKURU Majina tayari ya written.
  3. samwita

    Usahili uhamiaji sio poa paper imekaza

    Swali la kuandika wimbo wa Taifa halikuwepo. (takukuru 2022 na 2023)
  4. samwita

    Ajira za TISS hutangazwa wapi?

    Tupe Update mkuu
  5. samwita

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Ronja ( mtipidii kozi imeanza kitambo yapata mwezi sasa) ajira hizi hizi za juzi kwenye email na mkononi. Tuendelea kulitumikia Taifa pendwa la Tanzania.
  6. samwita

    Anahitajika mfanyakazi wa ndani mwenye sifa zifuatazo

    Ndugu yangu Kila mwajiri angetanguliza mbele kigezo Cha dini wakristo wengi wangekuwa omba omba. TOA KIPENGELE No. 2. Tambua wafanyabiashara wakubwa wote ni waisilamu. Mimi ni roman Catholic ila nimeajiriwa na muisilamu. Je mwajiri wangu angeweka kigezo Cha dini ningekuwa omba omba na ukristo...
Back
Top Bottom