Asante kwa ushaur wako ila kuwa na vitabu ni muhimu kwasababu unafanya maswali meng tofauti na ya mwalimu pia sio kila kitu mwalimu atasema unahitaj kuongeza ujuz zaid
Wadau
Ninaomba mnitajie publisher wa vitabu vizuri vya masomo yaliyotajwa hapo juu kwa ajili ya mwanafunzi wa kidato cha tano, both vitabu vya maswali na vitabu vya notes/maelezo bila kusahau mapamphlet mazuri na waandishi wake.
Naomba mchango wenu tafadhali!
Wadau ni vitabu vipi vizur ambavyo vinatumiwa sana na wanafunz wa kidato cha tano vya masomo ya physics,chemistry,puremathematics na general studies ...ukitaja kitabu taja na mtunz au publisher
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.