Recent content by Samuel Nyaki

  1. S

    East African Federation (EAF) public Views

    Suala sio ajira tu naomba muelewe kuwa yapo maswala mengi ambayo yamekuwa yakioaniswa hapo nyuma. Kilicho cha msingi sana ni kujipa muda, kuwaelimisha Wanajumuia wa Africa mashariki wote ili mwisho watu watoe hoja na mwisho tuhamue kwa kupiga kura. Nasema hivyo kwa sababu watu wengi hawajui...
  2. S

    East African Federation (EAF) public Views

    Bravo!!! we can then think of this federation in 100 years from now when we will have been prepared.
  3. S

    East African Federation (EAF) public Views

    what are we showing the public?!!!!!!!!!!!!!!
  4. S

    East African Federation (EAF) public Views

    haya maoni yanaonwa na viongozi wetu wa nchi hizi tatu? kama wanayaona ni vizuri lakini kama hawayaoni inabidi tutafute mbinu kwa vyovyote wayaone.
  5. S

    East African Federation (EAF) public Views

    If we have a union and the members have not understood the constitution or the consititution is hiden to members for some reason, we are in big trouble.
  6. S

    East African Federation (EAF) public Views

    Nina ushauri mdogo sana na mimi ninafikiri utakuwa na manufaa sana. ushauri. Badala ya kukimbilia umoja wa kisiasa tunge kimbilia kwanza kutatua matatizo ambayo tunayo sisi Wanaafrica Mashariki( common problems to Tanzania, Kenya and Uganda) mfano wa matatizo hayo; 1. Malaria...
  7. S

    East African Federation (EAF) public Views

    Mr/s Editor, I think you need to think of droping some members here! Why are we using such a language?
  8. S

    East African Federation (EAF) public Views

    Ninadhani ninazifahamu hasara za kujiunga. Ninaomba mtu yoyote aorodheshe faida za huu umoja kwa Watanzania, Wakenya, na Waganda. Unajua tukishughulika na faida kulinganisha na Hasara tutakuwa na uwezo wa kufika mwisho na kujua kama umoja huu ni mzuri au mbaya. Faida ziwe zinamlenga Mwana wa...
  9. S

    East African Federation (EAF) public Views

    Mini nadhani ni bora tukajitoa kwanza kwa maana ninaona mwisho sisi Watanzania tutakuja kujuta. kwanza; gharama za uzalishaji hapa ni kubwa kulinganisha na kwa wenzetu kutokana na sababu mbalimbali ambazo zinaeleweka. Pili; hivi sasa Watanzania walioajiriwa Kenya au Uganda ni wachache...
Back
Top Bottom