Nampata sana Kayosaki kwa elimu take nzur aliyotoa kwenye business & uwekezaji,, coz yupo excellent ila ili kutoka inabd tuwe na mtaji na tuiapply hyo knowledge yake!
Wadau wangu wa ukweli mnisaidie kuhusu hizi mashine za umwagiliaji bustani:
1. Zipi zenye ubora kati ya
Honda na Kingmax?
2. Namna ya kuitambua
waterpump "original" wakati
wa kuinunua dukani
( ikiwa mpya). Naamn
mtanipa ushirikiano...
Hapo mguu pande, mguu sawa,,, tulia kwanza umpime upepo. Usijionyeshe kwake kuwa una shida sana man!!! kama ni mpango wa Sir God utampata and vise versa is true.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.