Recent content by Samora magafu

  1. S

    Nime-apply chuo NACTE nahitaji kujua tulio apply ni wa ngapi?

    Samaha mkuu vipi kuhusu biomedical engineering Maan naona hiyo ada ya medical laboratory kama inataka kuwashinda
  2. S

    Nime-apply chuo NACTE nahitaji kujua tulio apply ni wa ngapi?

    Kweli ata baba yang aliniambia nisiende advance..
  3. S

    Nime-apply chuo NACTE nahitaji kujua tulio apply ni wa ngapi?

    Nimepata asanteni lakin kama kuna wengine waendelee kunielewesha zaid
  4. S

    Nime-apply chuo NACTE nahitaji kujua tulio apply ni wa ngapi?

    Maana apa nina two ya 18 afu pia nina pys C, bio B, Chem C, math D.. Afu nimeapply chuo cha dar es police academy medical laboratory
  5. S

    Nime-apply chuo NACTE nahitaji kujua tulio apply ni wa ngapi?

    Asante sana me waga nasoma sana ushauri wako ata kwa wengin ambao wanauliza waga unashauri vzr sana na haumkatish mtu tamaa Asante sana.. Nataman ata niwe Nakuuliza maswali direct ww
  6. S

    Nime-apply chuo NACTE nahitaji kujua tulio apply ni wa ngapi?

    Samahan naomba kuuliza nina div two ya 18 je naweza Pata nafasi.. Hapo..
  7. S

    Nime-apply chuo NACTE nahitaji kujua tulio apply ni wa ngapi?

    Mkuu ndo hii nimepiga picha Hao applicant choose as ndo watu gani
Back
Top Bottom