Recent content by samike

  1. S

    Polisi yasikitishwa na kifo cha kada wa CHADEMA, Ali Kibao. Latoa wito kwa mwenye taarifa za kweli na uhakika awasilishe kwa mujibu wa taratibu

    Natumai wale wapelelezi waliofanya uchunguzi wa mauaji ya wafanyabiashara wawili kule songea waliopplotea na hatimae kubaini walikokuwa wamefukiwa na watuhumiwa kukamatwa nao wataongeza nguvu kwenye hili nadhani wanakitu cha ziada
  2. S

    Siri mauaji ya bilionea wa madini na mwanaye

    Kumbe bhana huyu hakuwa bilionea ni uhuni tu Grace masese senso aliyejifanya kuwa ndugu wa kaka naye yupo mahabusu na wengine hii dunia bhana
  3. S

    Ruvuma: Marwa Masese Festo (55) pamoja na mtoto wake John Marwa (30) wakazi wa Kunduchi Dar Wauawa Kikatili

    Tupeni update ya hii case, nadikia Grace masese aliyekuwa ametambua maiti na mfanyabiashara maarufu dar wapo ndani
  4. S

    Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025

    Bila katiba mpya itakayoweka tume huru ya uchaguzi Mama atashinda kwa kishindo
  5. S

    Maoni: Safu ya Baraza la Mawaziri haiakisi maendeleo, inaakisi nchi kumilikiwa na familia fulani zinazoamini bila wao hakuna Tanzania

    Kama watafanya kazi vizuri sawa hapa ninapoona umuhimu wa katiba mpya ambayo tutapata tume huru ya uchaguzi
  6. S

    Nina mimba na mtoto ana miezi minne, naomba ushauri wenu nifanyeje?

    Tupe Mrejesho Mkuu vipi ulijifungua salama , ulitumia mbinu gani Afya za watoto wetu vipi
Back
Top Bottom