Mtu akiomba ushauri ni jambo jema Kusema na kama hujui siyo busara kuleta mzaha!
Tiba ya pumbu iko katika aina kadhaa! Pia ni shirikishi!
Yaani ukitaka kupona pumbu lazima kwanza ubadilishe mazoea ya kuzilinda pumbu!
Pumbu ni sehemu yenye joto hivyo ikizibwa sana bila usafi na hewa inaanza...
Barua hii nimeiandika kuiomba serikali yetu ibadilishe matumizi ya fedha AFCON Ili mafundi tupate pesa za kutalii kiufundi ulaya.
FUNDI SAMICO,
P.O.BOX.
SAMICO TANZANIA,
KWENDA: Wizara ya Michezo(TFF)
P.O.BOX
DODOMA
TANZANIA
YAH: OMBI LA KUJIONDOA KWENYE MICHUANO YA AFCON NA KUELEKEZA...
Jana ijumaa nilikuwa na kazi ndogo ya kurekebisha umeme katika shule moja!
Matukio ya tabia ngumu za watoto niliyoyashuhudia nikiwa hapo shule yamenipa muda wa kutafakari sana!
Kwa muda mchache nikiwa pale mwalimu alipokea kesi tatu za ajabu hadi nikashangaa hii ni laivu au naota!
Kesi ya...
Hahah yaani nikuandikie mada, halafu hata wewe kuonyesha tu unataka wapi upate ufafanuzi unaona tabu!
Ila kuna watu mnapenda sana masihara ya kuagiza kwenye mambo ya kujitolea!
Unahitaji sana msawazo wa frequency zako haziko sawia!
Hahah Energy drink, Bangi n.k ni miongoni mwa vichocheo vinavyoongeza mzunguko wa umeme katika damu!
Na automatically Frequency zinabadilika na taarifa inayofika kwenye ubongo (impulse) zinakuwa hazisomani sawia.
Hapk ndipo mwanzo wa kuonekana ni kichaa.
Hata wale waliowahi kubishwa shoti...
Ni somo pana kidogo nilifupisha ili nisichoshe watu!
Baada ya ulimwengu kulipuka kutokana na kichembe kiduchu cha atom
Ilifumuka kiwa na hizo nguvu zilikuja kuzalisha mambo mengine yote yanayoonekana leo!
Mzunguko wa chaji ulioendelea baada ya mlipuko mkuu wa atom ndiyo uliounda yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.