Recent content by Samico Tanzania

  1. S

    JamiiForums Tanzania Ulitumia dawa gani kupona fangasi za kwenye korodani?

    Mtu akiomba ushauri ni jambo jema Kusema na kama hujui siyo busara kuleta mzaha! Tiba ya pumbu iko katika aina kadhaa! Pia ni shirikishi! Yaani ukitaka kupona pumbu lazima kwanza ubadilishe mazoea ya kuzilinda pumbu! Pumbu ni sehemu yenye joto hivyo ikizibwa sana bila usafi na hewa inaanza...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Nimeandika barua hii kwenda wizara ya michezo; Kuishauri serikali ijitoe AFCON na ili sisi mafundi tupate pesa ya kutalii ulaya

    Barua hii nimeiandika kuiomba serikali yetu ibadilishe matumizi ya fedha AFCON Ili mafundi tupate pesa za kutalii kiufundi ulaya. FUNDI SAMICO, P.O.BOX. SAMICO TANZANIA, KWENDA: Wizara ya Michezo(TFF) P.O.BOX DODOMA TANZANIA YAH: OMBI LA KUJIONDOA KWENYE MICHUANO YA AFCON NA KUELEKEZA...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Jana nilikuwa narekebisha umeme katika shule moja, ndani ya Muda mfupi nikiwa pale nimegundua walimu wana kazi kubwa

    Vipindi vya malezi bora viongezwe kwenye vyombo vyetu vya habari kuliko movie za spider na tamthilia za kihuni
  4. S

    JamiiForums Tanzania Jana nilikuwa narekebisha umeme katika shule moja, ndani ya Muda mfupi nikiwa pale nimegundua walimu wana kazi kubwa

    Kazi ya marekebisho ni tofauti na kubadili balbu ndugu yangu
  5. S

    JamiiForums Tanzania Jana nilikuwa narekebisha umeme katika shule moja, ndani ya Muda mfupi nikiwa pale nimegundua walimu wana kazi kubwa

    Jana ijumaa nilikuwa na kazi ndogo ya kurekebisha umeme katika shule moja! Matukio ya tabia ngumu za watoto niliyoyashuhudia nikiwa hapo shule yamenipa muda wa kutafakari sana! Kwa muda mchache nikiwa pale mwalimu alipokea kesi tatu za ajabu hadi nikashangaa hii ni laivu au naota! Kesi ya...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Tujifunze machache kuhusu umeme wa mwilini unavyoweza kukusaidia kuishi au kukuharibu mazima

    Hahah yaani nikuandikie mada, halafu hata wewe kuonyesha tu unataka wapi upate ufafanuzi unaona tabu! Ila kuna watu mnapenda sana masihara ya kuagiza kwenye mambo ya kujitolea! Unahitaji sana msawazo wa frequency zako haziko sawia!
  7. S

    JamiiForums Tanzania Tujifunze machache kuhusu umeme wa mwilini unavyoweza kukusaidia kuishi au kukuharibu mazima

    Hahah Energy drink, Bangi n.k ni miongoni mwa vichocheo vinavyoongeza mzunguko wa umeme katika damu! Na automatically Frequency zinabadilika na taarifa inayofika kwenye ubongo (impulse) zinakuwa hazisomani sawia. Hapk ndipo mwanzo wa kuonekana ni kichaa. Hata wale waliowahi kubishwa shoti...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Tujifunze machache kuhusu umeme wa mwilini unavyoweza kukusaidia kuishi au kukuharibu mazima

    Ni somo pana kidogo nilifupisha ili nisichoshe watu! Baada ya ulimwengu kulipuka kutokana na kichembe kiduchu cha atom Ilifumuka kiwa na hizo nguvu zilikuja kuzalisha mambo mengine yote yanayoonekana leo! Mzunguko wa chaji ulioendelea baada ya mlipuko mkuu wa atom ndiyo uliounda yote...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Tujifunze machache kuhusu umeme wa mwilini unavyoweza kukusaidia kuishi au kukuharibu mazima

    Ni gridi ambayo kila binadamu kaunganishwa na ulimwengu kwa njia ya magnetic chaji ambayo haionekani kwa macho ila inaingia kama chaji mwilini
Back
Top Bottom