Recent content by Samico Tanzania

  1. S

    Nimeandika barua hii kwenda wizara ya michezo; Kuishauri serikali ijitoe AFCON na ili sisi mafundi tupate pesa ya kutalii ulaya

    Barua hii nimeiandika kuiomba serikali yetu ibadilishe matumizi ya fedha AFCON Ili mafundi tupate pesa za kutalii kiufundi ulaya. FUNDI SAMICO, P.O.BOX. SAMICO TANZANIA, KWENDA: Wizara ya Michezo(TFF) P.O.BOX DODOMA TANZANIA YAH: OMBI LA KUJIONDOA KWENYE MICHUANO YA AFCON NA KUELEKEZA...
  2. S

    Jana nilikuwa narekebisha umeme katika shule moja, ndani ya Muda mfupi nikiwa pale nimegundua walimu wana kazi kubwa

    Vipindi vya malezi bora viongezwe kwenye vyombo vyetu vya habari kuliko movie za spider na tamthilia za kihuni
  3. S

    Jana nilikuwa narekebisha umeme katika shule moja, ndani ya Muda mfupi nikiwa pale nimegundua walimu wana kazi kubwa

    Jana ijumaa nilikuwa na kazi ndogo ya kurekebisha umeme katika shule moja! Matukio ya tabia ngumu za watoto niliyoyashuhudia nikiwa hapo shule yamenipa muda wa kutafakari sana! Kwa muda mchache nikiwa pale mwalimu alipokea kesi tatu za ajabu hadi nikashangaa hii ni laivu au naota! Kesi ya...
  4. S

    Tujifunze machache kuhusu umeme wa mwilini unavyoweza kukusaidia kuishi au kukuharibu mazima

    Hahah yaani nikuandikie mada, halafu hata wewe kuonyesha tu unataka wapi upate ufafanuzi unaona tabu! Ila kuna watu mnapenda sana masihara ya kuagiza kwenye mambo ya kujitolea! Unahitaji sana msawazo wa frequency zako haziko sawia!
  5. S

    Tujifunze machache kuhusu umeme wa mwilini unavyoweza kukusaidia kuishi au kukuharibu mazima

    Hahah Energy drink, Bangi n.k ni miongoni mwa vichocheo vinavyoongeza mzunguko wa umeme katika damu! Na automatically Frequency zinabadilika na taarifa inayofika kwenye ubongo (impulse) zinakuwa hazisomani sawia. Hapk ndipo mwanzo wa kuonekana ni kichaa. Hata wale waliowahi kubishwa shoti...
  6. S

    Tujifunze machache kuhusu umeme wa mwilini unavyoweza kukusaidia kuishi au kukuharibu mazima

    Ni somo pana kidogo nilifupisha ili nisichoshe watu! Baada ya ulimwengu kulipuka kutokana na kichembe kiduchu cha atom Ilifumuka kiwa na hizo nguvu zilikuja kuzalisha mambo mengine yote yanayoonekana leo! Mzunguko wa chaji ulioendelea baada ya mlipuko mkuu wa atom ndiyo uliounda yote...
  7. S

    Tujifunze machache kuhusu umeme wa mwilini unavyoweza kukusaidia kuishi au kukuharibu mazima

    Ni gridi ambayo kila binadamu kaunganishwa na ulimwengu kwa njia ya magnetic chaji ambayo haionekani kwa macho ila inaingia kama chaji mwilini
  8. S

    Tujifunze machache kuhusu umeme wa mwilini unavyoweza kukusaidia kuishi au kukuharibu mazima

    Ndugu karibuni katika mada hii japo nitasema kwa uchache. Pamoja na kwamba mimi ni fundi umeme na ujenzi lakini hapa kwa leo nitazungumzia zaidi umeme ambao upo ndani ya miili yetu zaidi. Nikiwa nafanya kazi zangu za kiufundi umeme huu tunaotumia majumbani nilikuja kubaini kuna uhusiano mkubwa...
Back
Top Bottom