Recent content by Samico Tanzania

  1. S

    JamiiForums Tanzania Simba mjifunze kuheshimu wakubwa, Msipobadilika mtajua hamjui hii ni code nawapa

    Utajiri wa familia hauamuliwi na mtu mmoja, had familia ikae
  2. S

    JamiiForums Tanzania Simba mjifunze kuheshimu wakubwa, Msipobadilika mtajua hamjui hii ni code nawapa

    Yule Tajiri wao Simba siyo Tajiri , ni msemaji wa kampuni Siyo Final say! Yaani kiufupi ni msemaji kama alivyo Ahamed ally au ally kamwe hadi kikao cha familia kiamue ndipo utekelezaji ufanyike!
  3. S

    JamiiForums Tanzania Simba mjifunze kuheshimu wakubwa, Msipobadilika mtajua hamjui hii ni code nawapa

    Hata akifulia atakopesheka tu ili simba apate adabu apunguze jeuri! Wakubwa wakujengee jukwaa halafu unalitumia kuzomea waliokujengea weee unajitaka hujitaki. Simba hatokaa afukie dawa zake uwanjani hadi siku atakapojua kuheshimu watu walioshika mpini. Ulinzi utaimalishwa kila mechi zake had...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Simba mjifunze kuheshimu wakubwa, Msipobadilika mtajua hamjui hii ni code nawapa

    Umoja wa matajiri ni kilio kwa maskini
  5. S

    JamiiForums Tanzania Simba mjifunze kuheshimu wakubwa, Msipobadilika mtajua hamjui hii ni code nawapa

    Hata refa angesimama Mangungu Timu ya Simba haina ushindani
  6. S

    JamiiForums Tanzania Simba mjifunze kuheshimu wakubwa, Msipobadilika mtajua hamjui hii ni code nawapa

    Umoja wa maskini ni kelele tu
  7. S

    JamiiForums Tanzania Simba mjifunze kuheshimu wakubwa, Msipobadilika mtajua hamjui hii ni code nawapa

    Awamu hii hata makundi Simba haingiii, Ulinzi utaimarishwa Mechi zake za nyumba hakuna kufukia dawa uwanjani (polisi watalinda viwanja ) hadi siku simba wakijua makosa yao
  8. S

    JamiiForums Tanzania Simba mjifunze kuheshimu wakubwa, Msipobadilika mtajua hamjui hii ni code nawapa

    Walikosa adabu sana siku ile wacha walaumiane kwanza
  9. S

    JamiiForums Tanzania Simba mjifunze kuheshimu wakubwa, Msipobadilika mtajua hamjui hii ni code nawapa

    kuna msemo wa zamani unasema Mla miwa husahau ila mtupa maganda hasau! Salam Haitii mimba; Huu msemo unamaana tu kwa watu wenye nidhamu; Haiwezekani unasalimiwa na mkubwa katika birthday yako huitikii na kibaya zaidi unazomea! Sasa asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu! NAIMANI wengi...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Natamani nikutane na mkuu wa usalama barabarani nimshauri yafuatayo

    Wapi nini; Operesheni ya nchi nzima mabasi yanapita kote yaliyofungwa ngao yanaovatek kwa kiburi kwa jeuri ya ngao! Wang'oe ngao zao
  11. S

    JamiiForums Tanzania Natamani nikutane na mkuu wa usalama barabarani nimshauri yafuatayo

    Afanye oparesheni Zifuatazo 1. Atangaze siku 30 za kila basi llililoweka ngao waondoe mara moja, kwasababu inachangia sana kiburi cha ku-overtake na kuhatarisha usalama barabarani 2. Atangaze oparesheni ya kutokomeza tandabui baraarani ( Yaani bajaji zote zinazofanya kazi kama daladala kwa...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Ulitumia dawa gani kupona fangasi za kwenye korodani?

    Mtu akiomba ushauri ni jambo jema Kusema na kama hujui siyo busara kuleta mzaha! Tiba ya pumbu iko katika aina kadhaa! Pia ni shirikishi! Yaani ukitaka kupona pumbu lazima kwanza ubadilishe mazoea ya kuzilinda pumbu! Pumbu ni sehemu yenye joto hivyo ikizibwa sana bila usafi na hewa inaanza...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Nimeandika barua hii kwenda wizara ya michezo; Kuishauri serikali ijitoe AFCON na ili sisi mafundi tupate pesa ya kutalii ulaya

    Barua hii nimeiandika kuiomba serikali yetu ibadilishe matumizi ya fedha AFCON Ili mafundi tupate pesa za kutalii kiufundi ulaya. FUNDI SAMICO, P.O.BOX. SAMICO TANZANIA, KWENDA: Wizara ya Michezo(TFF) P.O.BOX DODOMA TANZANIA YAH: OMBI LA KUJIONDOA KWENYE MICHUANO YA AFCON NA KUELEKEZA...
Back
Top Bottom