Barua hii nimeiandika kuiomba serikali yetu ibadilishe matumizi ya fedha AFCON Ili mafundi tupate pesa za kutalii kiufundi ulaya.
FUNDI SAMICO,
P.O.BOX.
SAMICO TANZANIA,
KWENDA: Wizara ya Michezo(TFF)
P.O.BOX
DODOMA
TANZANIA
YAH: OMBI LA KUJIONDOA KWENYE MICHUANO YA AFCON NA KUELEKEZA...
Jana ijumaa nilikuwa na kazi ndogo ya kurekebisha umeme katika shule moja!
Matukio ya tabia ngumu za watoto niliyoyashuhudia nikiwa hapo shule yamenipa muda wa kutafakari sana!
Kwa muda mchache nikiwa pale mwalimu alipokea kesi tatu za ajabu hadi nikashangaa hii ni laivu au naota!
Kesi ya...
Hahah yaani nikuandikie mada, halafu hata wewe kuonyesha tu unataka wapi upate ufafanuzi unaona tabu!
Ila kuna watu mnapenda sana masihara ya kuagiza kwenye mambo ya kujitolea!
Unahitaji sana msawazo wa frequency zako haziko sawia!
Hahah Energy drink, Bangi n.k ni miongoni mwa vichocheo vinavyoongeza mzunguko wa umeme katika damu!
Na automatically Frequency zinabadilika na taarifa inayofika kwenye ubongo (impulse) zinakuwa hazisomani sawia.
Hapk ndipo mwanzo wa kuonekana ni kichaa.
Hata wale waliowahi kubishwa shoti...
Ni somo pana kidogo nilifupisha ili nisichoshe watu!
Baada ya ulimwengu kulipuka kutokana na kichembe kiduchu cha atom
Ilifumuka kiwa na hizo nguvu zilikuja kuzalisha mambo mengine yote yanayoonekana leo!
Mzunguko wa chaji ulioendelea baada ya mlipuko mkuu wa atom ndiyo uliounda yote...
Ndugu karibuni katika mada hii japo nitasema kwa uchache.
Pamoja na kwamba mimi ni fundi umeme na ujenzi lakini hapa kwa leo nitazungumzia zaidi umeme ambao upo ndani ya miili yetu zaidi.
Nikiwa nafanya kazi zangu za kiufundi umeme huu tunaotumia majumbani nilikuja kubaini kuna uhusiano mkubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.