Wakati tunaelekea mwaka 2025 mwaka wa uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani mimi kama kijana mzalendo mwenye kuipenda nchi yako sijaona wa kushindana na jemedali dokta Samia
Mtu huyo bado hajazaliwa kwa utafiti nilioufanya Rais wetu anakubalika sana kwa uchapakazi wake na uwezo wake wa...
Awali ya yote napenda kuchukua fursa hii ya kipekee kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema wa baraka ya uhai aliyotujalia hatimae kuwenza kuuona mwaka mwingine 2024.
Tukiwa tunaelekea kwenye vikao vya Halmashauri Kuu na Kamati Kuu ambavyo kutokana na ratiba ya chama Moja ya ajenda itakuwa...
Sijatumwa na mtajwa hapo juu, wala sio shabiki wa mtu yoyote kwenye siasa.
Sema kutokana na uchapakazi wake, uadilifu na uongozi uliotukuka toka akiwa Hanang na Tanga vimenifanya nione kuwa ni mtu anaefaa kupewa nafasi ya ukuu wa mkoa wa Shinyanga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.