Mabint wenyewe wanajitongozesh kwa hawa mabosi. Biologically ni ngumu kwa mwanaume kumkataa mwanamke anaekutaka mwenyewe , wanafanya hivi lengo wapate favor na kulipiwa huduma mbali mbali. Mabos wengi wanaingia kwenye mahusian na watumishi wao kwa maelewano pande zote mbili, ila ikitokea boss...
Miradi mingi imesimama kwa changamoto ya pesa , hazina hakuna pesa, Kuna mikataba mingi ya ujenzi imesainiwa lakina ujenzi umesimama kwa vile wakandarasi hawajapewa pesa ya advance.
Kinachoonekana hazina Haina pesa ya kulipa walimu wapya, walimu waliokuwepo tu wanalipwq kwq bahati nasibu Kila mwezi Kuna kundi la watumishi kimakosa mshahara bila sababu ya msingi, binafsi sitegemei ajira kutangazwa karibuni hii
Barabara ya mbezi mpiji magohe inajengwa kwa kiwango Cha changalawe , Kwa Sasa serikali inajenga kipande Cha kibamba mpiji kwa awamu kiwango Cha lami. Sababu kubwa ni kwamba kipande Cha mbezi mpiji magohe kinahitaji fidia kubwa kwa wananchi kwenye utekelzji wa Barabara ya lami poa inahitajika...
Barabara ya mpiji magohe serikali inashughulika na kibamba mpiji magohe mpka iishe inajengwa kwa awamu. Mbezi mpiji magohe bado Sana maana kipande hiki kinahitaji fidia kubwa kwa wananchi katika kupanua barabara pia kipande hiki kinahitaji Madarajq zaidi ya matano hivyo inahitajika bajeti ya kutosha
Kuna mradi wq DMDP phase two watajenga barabara ya msumi kilometa 9.08 . Ujenzi unaanza mwezi wa saba. Kipindi wanatangaza zabuni ili mkandarasi apatikane. Tembelea page ya mkuu wa mkoa you tube autakuta kafafanua barabara ambazo zitapitiwa lami
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.