Recent content by Sambazah World

  1. Sambazah World

    Usalama wa Kununua Vitu Mtandaoni (Online Trade Assurance) Tanzania

    Kwa uelewa mchache ni kwamba "Africa is a peculiar market". Sisi tunanamna yetu ya kufanya biashara mtandaoni ambazo e-commerce companies za Tanzania zinabidi zikae na wateja wao kueleweshwa somo hili. Mteja ndio anasiri ya jinsi angependa vitu viende hadi anapata bidhaa zake kwenye kila...
  2. Sambazah World

    Asikudanganye mtu, vitabu ni chakula muhimu sana cha akili

    Naomba tukushukuru na kusapoti usomaji wako wa vitabu kwa kukupa discount ya 10% kwa kitabu chochote utakachokua kwenye Sambazah.co .
  3. Sambazah World

    Asikudanganye mtu, vitabu ni chakula muhimu sana cha akili

    Naomba kuongezea kwa waliochangia mambo mazuri hapo mwanzoni. Kitabu ni chemichemi ya maarifa. Inategemea unahitaji kuongeza maarifa upande upi wa maisha yako. Mfano kuna kitabu cha 100 rules for entreprenuers kinachouzawa na Sambazah.co kinagusia mambo ya ujasiriamali tu ambacho kitamfaa...
  4. Sambazah World

    Unafikiri Tanzania imefikia sehemu unaweza kununua bidhaa na huduma mitandaoni kwa urahisi?

    Je unafikiri mazingira yapi rafiki yawekwe ili e-commerce ikuwe Tanzania?
  5. Sambazah World

    Unafikiri Tanzania imefikia sehemu unaweza kununua bidhaa na huduma mitandaoni kwa urahisi?

    Je unashauri njia ipi bora kuweza kukabili swala hili la uuzaji na ununuaji wa bidhaa mtandaoni
  6. Sambazah World

    Unafikiri Tanzania imefikia sehemu unaweza kununua bidhaa na huduma mitandaoni kwa urahisi?

    Je kuwa na e-commerce kama Jumia, Amazon au Alibaba itaweza kusaidia?
  7. Sambazah World

    Unafikiri Tanzania imefikia sehemu unaweza kununua bidhaa na huduma mitandaoni kwa urahisi?

    Je unapitia changamoto zipi unaponunua bidhaa mtandaoni? Je nini kifanyike kusuluhisha suala hili kwenye nchi yetu Tanzania?
Back
Top Bottom