Kuna mwamba aliwahii kunichimba mkwara akanipa Mia mbili akaniambia kaniletee mihogo ya jero na chenchi buku ...huwezi kuamini...nikamletea na chenchi nikampatia 🤣 🤣 🤣 🤣
Mapenziii.....hayana shule ....coz tunakutana na Aina tofauti tofauti Sana na hao mnaowawaza.,....kila mtu anajua Yuko na sample gani ....muhimu ukiona mtu umeweza kuyabeba madhaifu yake ...na yeye kayabeba yako.,....bhas hapo unyama...ila ububu na kiziwi.... 🤣 🤣 Nonyaaa
Mapenzi mapenzi mapenziii....nilikuwa hadi jumamosi naenda kanisanii na jumapili namsindikiza na yeye kanisanii...yaani nasali mara mbili ...lakini wapii??? Mlango Uwe mpana au mwembamba ....kutoa penzinj ni SUICIDE 😊 😊 😊 😊 😊
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.