Passo AKA KINUSA MAFUTA IMEFIKA PIA 2008 MODEL A VERY CLEAN UNIT, KM 88,000 CC 1000 AT Petrol 2WD 13.9M + Usajili, HII kwa Mafuta Kupanda BEI itakufa sana, Kwa Final Price Na Picha zaidi Contact 0714547598
MAZDA VERISA L 2011 MODEL Fresh Import Ndo Imefika na MELI [WISODOM ACE] ndo inashusha KM 80,400 CC 1490 AT Petrol 2WD Price 17.7M + Usajili, Picha zaidi na Final OFA Contact 0714547598
Juzi Kati camera zime-mumulika Daudi akiwa kwenye Bentley Flying Spur, Moja ya expensive na full sized luxury sedan kutoka kwa Mkoloni huko Uingereza kwa Malikia..
.
Kama wapiga kura tukaitolea macho kumchuzi huku tunawaza ukosefu wa madawati Shule Msingi Nyambitilwa kibondo, Tukapata tags za...
Hii Gari ina body design nzuri same to Interior ila wabongo wengi wanaikimbia. Sasa Unataka kujua sababu ni nini kaa vizuri funga Mkanda nikupe madini.
.
Qashqai ni Dualis [Maarufu kama Kiberiti though siku hizi haziungui tena ] iliyochangamka ikiwa imetengenezwa na Nissan Kampuni Ya Kijapan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.