Recent content by Samatime Magari

  1. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Ushuru kwenye magari, Serikali inapaswa kuangalia upya

    wazo zuri hopefully watalifanyia kazi
  2. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Ushuru kwenye magari, Serikali inapaswa kuangalia upya

    Hapa nafikiri ni kodi tu wanataka naona wanaitafuta Pesa kwa nguvu
  3. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Ushuru kwenye magari, Serikali inapaswa kuangalia upya

    hatari sana Mzee
  4. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Ushuru kwenye magari, Serikali inapaswa kuangalia upya

    Zina kodi pia, hizo gari nimeziona pia mchina anakuja kwa speed
  5. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Ushuru kwenye magari, Serikali inapaswa kuangalia upya

    Huu Ushuru Sirikali iuangalie Tena Purchasing Power Ya magari is going to be affected aisee. Imagine Toyota RUSH Nje inauzwa $6500 Kama 16.9M Hivi Pesa ya Tunguu. Halafu Tiarahei naona ushuru wanataka 15.8M Bila kupepesa Jicho mpaka hapo ni 32.7M, Ukitia na bandari charges zile walizoleta 35M...
  6. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Mazda Verisa AKa Dogo Janja

    hakika
  7. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Mazda Verisa AKa Dogo Janja

    Nakubaliana na wewe 100% ila kuna raia pia wanatunza magari vizuri sana hapa nchini hata wakiyatumia yanakua bado katika hali nzuri
  8. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Mazda Verisa AKa Dogo Janja

    Kuna option za used Bongo Mzee zinakua bei chini zaidi
  9. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Car4Sale MAFUTA MBUZI SAFARI TEMBO

    Passo AKA KINUSA MAFUTA IMEFIKA PIA 2008 MODEL A VERY CLEAN UNIT, KM 88,000 CC 1000 AT Petrol 2WD 13.9M + Usajili, HII kwa Mafuta Kupanda BEI itakufa sana, Kwa Final Price Na Picha zaidi Contact 0714547598
  10. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Mazda Verisa AKa Dogo Janja

    MAZDA VERISA L 2011 MODEL Fresh Import Ndo Imefika na MELI [WISODOM ACE] ndo inashusha KM 80,400 CC 1490 AT Petrol 2WD Price 17.7M + Usajili, Picha zaidi na Final OFA Contact 0714547598
  11. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Bentley Flying Spur Moja YA Expensive Sedan Kutoka kwa Mkoloni Anayopush Bashite

    Sawa sawa umeiweka vizuri kabisa umakini kwa road ni muhimu
  12. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Bentley Flying Spur Moja YA Expensive Sedan Kutoka kwa Mkoloni Anayopush Bashite

    Inafanya vizuri tu sio ya kuogopa27-28+ inafika +usajili
  13. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Bentley Flying Spur Moja YA Expensive Sedan Kutoka kwa Mkoloni Anayopush Bashite

    Juzi Kati camera zime-mumulika Daudi akiwa kwenye Bentley Flying Spur, Moja ya expensive na full sized luxury sedan kutoka kwa Mkoloni huko Uingereza kwa Malikia.. . Kama wapiga kura tukaitolea macho kumchuzi huku tunawaza ukosefu wa madawati Shule Msingi Nyambitilwa kibondo, Tukapata tags za...
Back
Top Bottom