Recent content by Samatime Magari

  1. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Mazda Verisa AKa Dogo Janja

    hakika
  2. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Mazda Verisa AKa Dogo Janja

    Nakubaliana na wewe 100% ila kuna raia pia wanatunza magari vizuri sana hapa nchini hata wakiyatumia yanakua bado katika hali nzuri
  3. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Mazda Verisa AKa Dogo Janja

    Kuna option za used Bongo Mzee zinakua bei chini zaidi
  4. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Car4Sale MAFUTA MBUZI SAFARI TEMBO

    Passo AKA KINUSA MAFUTA IMEFIKA PIA 2008 MODEL A VERY CLEAN UNIT, KM 88,000 CC 1000 AT Petrol 2WD 13.9M + Usajili, HII kwa Mafuta Kupanda BEI itakufa sana, Kwa Final Price Na Picha zaidi Contact 0714547598
  5. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Mazda Verisa AKa Dogo Janja

    MAZDA VERISA L 2011 MODEL Fresh Import Ndo Imefika na MELI [WISODOM ACE] ndo inashusha KM 80,400 CC 1490 AT Petrol 2WD Price 17.7M + Usajili, Picha zaidi na Final OFA Contact 0714547598
  6. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Bentley Flying Spur Moja YA Expensive Sedan Kutoka kwa Mkoloni Anayopush Bashite

    Sawa sawa umeiweka vizuri kabisa umakini kwa road ni muhimu
  7. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Bentley Flying Spur Moja YA Expensive Sedan Kutoka kwa Mkoloni Anayopush Bashite

    Inafanya vizuri tu sio ya kuogopa27-28+ inafika +usajili
  8. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Bentley Flying Spur Moja YA Expensive Sedan Kutoka kwa Mkoloni Anayopush Bashite

    Juzi Kati camera zime-mumulika Daudi akiwa kwenye Bentley Flying Spur, Moja ya expensive na full sized luxury sedan kutoka kwa Mkoloni huko Uingereza kwa Malikia.. . Kama wapiga kura tukaitolea macho kumchuzi huku tunawaza ukosefu wa madawati Shule Msingi Nyambitilwa kibondo, Tukapata tags za...
  9. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Nissan Qashqai aka Dualis Aliyechangamka...

    iko na engine gani Mkuu ?
  10. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Yes Audi Q 5 German Machine For Sale

    Gari ni Ya 2012 Ina CC 1990 TSFI 8 Speed AT na Imetembea Km 92,300 Njoo na 25.5M Uondoke na Chuma
  11. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Nissan Qashqai aka Dualis Aliyechangamka...

    Pamoja Mkuu tuendelee kujifunza
  12. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Nissan Qashqai aka Dualis Aliyechangamka...

    Hii Gari ina body design nzuri same to Interior ila wabongo wengi wanaikimbia. Sasa Unataka kujua sababu ni nini kaa vizuri funga Mkanda nikupe madini. . Qashqai ni Dualis [Maarufu kama Kiberiti though siku hizi haziungui tena ] iliyochangamka ikiwa imetengenezwa na Nissan Kampuni Ya Kijapan...
  13. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania 🚨Yes Mwaka 1991 ndo Mitsubishi RVR anazaliwa huko Japan

    Pamoja Boss na hongera sana
Back
Top Bottom