Kingereza ndio lunga namba moja duniani ndio mana hapa tanzania imepewa hadhi kuanzia sekondary mpaka vyuo vikuu kufundishia?Kiswahili ndio ni lugha yetu lakini bado kinatumika maeneo machache sana kama kenya,uganda na tanzania na baazi ya nchi chache za afrika mashariki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.