Sio ushabiki Caicedo ni DM mzuri labda mambo yaende tofauti ila jana hamuwezi anza kumsifia enzo kwamba kafanya frxh akati amekutana na liver amabyo haina Dm mbn msim ulio pita alikuepo aliweza kutamba mbele ya fabinho au mnajisahaulisha kidogo
Nimeanza kuangalia mpira kabla yako mana huwezi ukawa unajua mpira ukaja kusema Gallagher ni AM afu kwenye game 35 alicheza msim ulio pita ana goli 3 na asist 1
Ko na yule gallagher ni nani ilikua ni halali kwa cheic kumili kiungo ila sio kujisifia kwamba umemiliki mchenzo akati unacheza na time haina MD ata mmoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.