in this day and age
hii kitu ilitakiwa iwe live streamed kwenye youtube au online
hivi JF kwa nini isiwe na youtube channel ambayo itakuwa ina stream hivi vitu live
Hivi mambo haya tutaacha lini?
Kupokea mabomba nayo inahitaji sherehe ambayo minimum itakuwa imecost more than 50 million
tuione huruma nchi hii jamani!
Msg kwa PASCO
Al Habib kitambi noma
Yuko wapi Pasco wa enzi za akina Ahmad Nzowa, Alioki, Jov na crew nzima ya Masai Studio?
Gym...
I don't know why our soldiers were ever sent there in the first place, as historically hizo Darfur na Congo has proved impossible to control, not just by the UN, but by other countries too sasa why do we think we are immortal tunaweza kurudisha amani huko?
Once again inaonyesha jinsi gani...
This is not worth paying the price for.
Hawa ni dada zetu, kaka zetu, ndugu zetu na sioni kwa nini walipelekwa kule
Tanzania ingetoa technical assitance only na sio kupeleka hawa ndugu zetu wakauliwe.
Darfur hawajatuvamia sasa ya nini sisi kwenda kuingilia mambo ya nchi iliyombali huko?
At...
Sina haja ya kusema mengi lakini this picture speaks alot about our political class na priorities zetu
Admin/mod naomba uiache hapa ili mjadala unoge zaidi.
Inawezekana vipi wizara muhimu kama hii ikawa haina strategic plan wala framework for transport services?
haijulikani pesa zao zinatumikaje na kwenye nini na kila mwaka wanaomba pesa.
Mtandao wao is even more embarassing kuliko Michuzi blog so dont expect to get anything meaning from the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.