Recent content by Sam kapile

  1. Sam kapile

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu msaada nimeseposite 1xbet lakin pesa ajaingia na pesa ishakatawa
  2. Sam kapile

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    sio uoga mkuu ila too much, najipanga tena mkuu
  3. Sam kapile

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu sijapanic wala sijutii, ila II imezidi aiseee atakama kuksi imezidi nimejitahidi kuweka mechi 3 ambazo zinaod jumla 2 au 1.9 lakin nachana kla day ya pata mwezi sasa ngoja nipumzike nitarud ila takua nakuja kuwapa Hi,, MChezo huu hautaji Hasira
  4. Sam kapile

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Duuuh warder bremen alikua na odd 1.23 afu kapigwa 6 mwenzie alikua na odd 8 daaaaah betting nomaaa
  5. Sam kapile

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
  6. Sam kapile

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Najaribu kuacha kubet kwa sababu ya u... Shenz huu
  7. Sam kapile

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ngoja nijipe likizo ya miez miwili maana sio kwa kipigo nacho kipata japokua muhind na mrusi nawadai ngoja tu wanitunzie pesa zangu yan daily mech moja zinaniua si basketball, si football, si nn chakushangaza naweka mech tu chache zenye Jumla ya odd 3 had 2 lakin duuuh aya bhana salute [emoji30]...
  8. Sam kapile

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Safi nimekupata vilivyo ww ni mwalim Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom