Jaman mi nimechaguliwa makumira arusha lakn mpka leo jna lngu clioni kwenye website yao ila kwenye profle yng chuo teyar kimethbitisha kulikubl ombi langu nisaidien plz
Jaman mi nimechaguliwa tumaini makumira lakini kwenye profile yng nimeandikiwa kuwa chuo teyar kime conferm jina lng ila kwenye majina ya chuo cjaona xaxa celew
Sheria tc vry cmple inategemea na da way utakavyo ipokea kwanza then for materials co shda xana coz mi nimeanza kuxoma tangu cheti mpka naingia mwaka wa kwanza dgree
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.