Salaam
Waungwana
Ukoo wa huyu muungwana unaitwa Al marjeby. Lakini la kushangaza sana huyu bwana hakuwa mfanya biashara ya utumwa kama mlivyofunzwa historia ya uongo na wazungu na vibaraka wao. Huyu ndie aliyekuwa anaaminiwa kuijua Tanganyika hadi Kongo wakati huo na alikuwa mfanyabiashara...
Salaam waungwana
Naomba niachangie katika hili. Kuna watu humu kwanza huwa wanabeza sana mambo kama tu yametoka kwa upinzani. Hii si sahihi. Suala la CUF kwenda ICC wengi walilibeza lakini aminini lipo HAI kabisa na suala hili lilianza katika mahkama za Tanzania kwa kufuata taratibu za kisheria...
Salaam ndugu zangu wote
Wacha kwa ufupi niwaeleze hasara kwa Tanganyika ikiwa muungano huu utavunjika kama mimi ambavyo nategemea kuwa hauwezi kudumu kwa kuulinda kwa vifaru ila utadumu tu iwapo maoni ya muundo wake yatazingatia matakwa ya wananchi wa pande zote mbili.
Kwanza kutatokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.