Yani nchi imefilisika alafu bado wanajilipa mishahara mikubwa tu na maposho kibao,
Nadhani itakua wameamua kutuwekea akiba kwa lazima, labda wataturudishia baadae
Shida yetu tunajali chama kuliko nchi, ndo maana kwakua mimi ni chama fulani hata kama aliyepitishwa kugombea hafai baso nitajikuta namtetea tu na kumpigia kura hivyohivyo, sijui tutabadilika lini kwa hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.