Tafadhali naomba mnifahamishe hili wakuu,nimeagiza mzigo belgium wa saa za mkononi kwaajili ya kuuza na nataka mzigo ufike dar kwa njia ya posta nimeambiwa anaenitumia ajiregista mzigo ndo utafika salama lakini ni kilo mbili mbili tu hubeba kwa njia ya regista kwaamana hyo Mzigo wangununagika...
Habari zenu wana jf naomba mnisaidie kunijuza hili, nataka kuingiza saa za mkononi kutoka belgium za biashara kwa kutumia njia ya posta nimeambiwa anaenitumia ajiregista mzigo ndo utafika salama lakini ni kilo mbili mbili tu hubeba kwaamana hyo km ni kilo4 nifunge box 2 kwa kilo 2 mbili, sasa je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.