Nina dv2 ya point 11(HGK) nataka kufanya application ya university mwaka huu ila nitabase sana kwenye faculties znazohusiana na Geography. Naomba mnisaidie hzo faculties pamoja na chuo kizur tz.
Nawaomben msaada wa matokeo nipo kijijin ambako taarifa nazpata kwa simu kupitia JF. Naomba mniwekee matokeo ya form four_2012. Namba ya shule S.4100 (salama)
Hiv kwa wanaosoma kitivo cha TAKWIMU {statistics} huwa wanatumia miaka ningap kumaliza degree ya 1 na ni combination gan inakuwa priority? Kwa wanaosoma HGK au HGL vp?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.