Recent content by SaliaG8

  1. S

    Tafsiri ya kaulimbiu ya "Safari ya Matumaini" ni kiashiria cha kutokuwa na uhakika!

    Huna hoja ata moja mtoa post,hizo safari zako ulizozipa jina la matumaini wala aziendani na hii yenye matumaini ya kufika,Kumbuka kuwa ili ufanikiwe lazima uweke matumaini ya kufanikiwa,so jaribu kujisogeza katika ili gari maana naona unatamani kuingia ila mlango wa kuibgilia ndo auujui,kama...
  2. S

    Lowassa kioo tuelekeacho

    Hivi kama lowasa aliiba kwa nini akupelekwa mahakamani,yeye yupo juu ya sheria?Lowasa is our coming president,wananchi tunamkubali,viivaaa Lowasa viiivaaa
  3. S

    Wapinzani wa Lowassa wahaha na kutumia 4U fake kumchafua

    Lowasa ndie Rais ajaye,anajua watanzania wanataka nini,watanzania pia tunajua nani anayeweza kututoa hapa tulipo,ni lowasa pekee,nawe usiempenda,jaribu kukalibia ua ridi maana Ikulu ndo hiyooo kiulini coz watanzania ndo wanamtaka,
  4. S

    Lowassa kioo tuelekeacho

    Lowasa ndiye Rais ajaye,hizo mzisemazo ni fitina zenu za kisiasa,raia ndo wanajua nani anawafaa kwa sasa,ndo maana wanamkubali na ata anapokwenda uwa wanakuja kumsapot,mtasubili saaaanaaa
Back
Top Bottom