Recent content by salenda

  1. S

    Kutoka Mahakama Kuu kanda ya Dar: Usikilizwaji wa uamuzi wa pingamizi la Zitto

    Zitto ni kijana wa kigoma ana akili kama mchwa hatingishwi na watu wenye akili za kushikiwa kama ninavyo on baadhi ya watu humu jamii
  2. S

    Kumbe ni kweli huyo ni Mnyarwanda kabisa anaeongoza vyuo vikuu Tanzania

    acheni propaganda kuzushia wa2 jamaa namjua tangia anazaliwa
  3. S

    Kigoma Manyovu

    watu wa Kigoma tuna shida moja ya kubaguana zidi ya Utusi na Uhutu ndo tatizo kubwa linalokusumbua kijana najua
  4. S

    hawatakua wabunge tena

    zitto amesoma alama za nyakati kigoma kasikazini asingepata ubunge tena
  5. S

    Kigoma Manyovu

    kijana una matatizo ya kufikiria kama nalo hili umeliona ni propaganda ok
  6. S

    Je kua Mtanzania mwenye damu ya Kitusi ni dhambi au kosa la jinai?

    kigoma ni ye2 cc wote wenye asili kitutsi na wsio na asili ya kitutsi
  7. S

    Kigoma Manyovu

    :peace:raia wa Manyovu Kigoma tumebarikiwa kuwa na pua ndefu kama walivyo Wamasai na Wairaki wa Manyara lakini kutokana na muonekano wetu tunakamatwa kuwa ni Warundi na wengine Wanyaruanda lakini vijiji vyetu vimekuwepo kabla hata ya uhuru wa Tanganyika na vingine viliitwa Nyabutusi na ndio...
Back
Top Bottom