magari yanatulemeza hakuna kutembea wala kubeba ndoo hata kupalilia bustani kwanini zisitanuke?kingine ni ubunifi wako katika sita.kwa sita mengine sijui mgagano no kujitafutia shida mapenzo si uke kubana ni zaidi ya hiyo
jamani mengine ni kujitafutia matatizo wakina mama,tujiulize.kwa nini.zitanuke?ni mfumo wa maisha tunaoishi na pia yategemea maimbile mungu alivyokuumba hivyo basi lifestyle ya siku si kama mama zetu ambao walikuwa wanafanya kazi za nyumbani kama kubeba ndoo,kulima to mention few lazima misuli...
Unaweza kuconceive, cyst huwa ni hormanal, inatokea na wakati mwingine haitokei. Kuhusu fangasi, pata matatibu sababu fangasi au infection kwenye kizazi ni chanzo kikuu cha kuzuia mimba kutunga.
USHAURI: nenda kwa Dr Mwaka, amesaidia wengi sana nina ushuhuda kwa hilo na watu wengi tu. Muombe...
poleni wapendwa,nilikuwa naumwa kundolewa pole jaman,nilienda hosp nikapewa dawa aina ya norethesterone for 30 days use nilibleed kweli kupima tena no pcos then nikasafishwa kizazi na kupewa clomid then nikaconceive sikuamin,baby dust to all,our lord hears
Jamani kuna ndugu kaniulizia hii biashara ya dry cleaner inahitaji vitu gani vya muhimu hasa wakati mtu anaanza na vinacost kiasi gani? Kwani ameniambia na almost kama tshs milion tatu na nusu.MSAADA WANA JAMII KWA HUYU MJASI ANAYEANZA.
Jamani kuna ndugu yangu kanifuata kuniomba ushauri kwamba anataka kufungua dry cleaner na ana tsh milioni tatu.
Anauliza ni vitu gani vinatakiwa kwenye biashara hiyo,msaada wajameni tumsaidie dogo
acha ujinga,la kwako halina matatizo eeh shame on you,hebu tuwe na sharp mind hivi sampling ya watu wawili ndio ugeneralise waha wote,nyie wa wapi hebu rudini shule halafu ndio mseme hayo mnayoyasema
hivi umesoma wewe?ni research gani sample watu wawili then you jump into conclusion,come here with viable data ndio ungeweza kusema hayo,MBULULA KWELI,NINGEKUWA LECTURER WAKO NDIO UNANILETEA DISSERTATION ISIYO NA KICHWA UNGEDISCO MCHANA KWEUPEEEEEEE,NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK
acha ujinga,la kwako halina matatizo eeh shame on you,hebu tuwe na sharp mind hivi sampling ya watu wawili ndio ugeneralise waha wote,nyie wa wapi hebu rudini shule halafu ndio mseme hayo mnayoyasema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.