Habari wanajamii, nina mdogo wangu anaumri wa miaka 20, akili yake haiko sawa, kila chuo tukijaribu kumpeleka anashindwa,ameshamaliza course mbali mbali kama mapishi,computer na ufundi lakini bado hajui chochote, naombeni msaada kwa yeyote mwenye kujua chuo cha watu kama hao,iwe ndani ama nje ya...