Recent content by Saint Joseph

  1. S

    Megastructures mlizozipinga zimeibadili taswira ya Tanzania, mlikurupuka kumkosoa Rais Magufuli

    Ndezi haujui unachokiandika haujui vipaumbele vya serikali na mahitaji ya eneo husika
  2. S

    Megastructures mlizozipinga zimeibadili taswira ya Tanzania, mlikurupuka kumkosoa Rais Magufuli

    Acha ujinga wewe maisha yako boresha mwenye serikali haina jukumu la maisha yako.
  3. S

    Majanga: Miradi ya Magufuli yote imekwama

    Darasa la 7 unajuta 😁😁😁
  4. S

    GE2020 Wakurugenzi waliowaondoa Wagombea wa Upinzani kwa maelekezo ya CCM wafutwe kazi, wana ajenda yao wakiachwa wataleta machafuko

    Unajua wakati mwingine anatakiwa afikirie sana ndio afanye maamuzi Hivi machafuko unayajua au unaropoka tu machafuko sio ya kuombea hiyo ni hatari sana maana ulikuwa na uhuru wa kufanya kazi hautakuwa nao tena uhuru wa kutembea hautakuwepo uhuru wa kulala hautakuwepo unalala roho juu juu.kwani...
  5. S

    Hivi TBC kazi yake ni kumwonyesha Magufuli peke yake?

    Hata baba yako wanaweza kumuonyesha tatizo hana mvuto
  6. S

    GE2020 Nani anapaswa kumrithi Rais Magufuli?

    Rudi kitandani uote jina lingine halafu awe mwanaume kisha awe mwislamu hapo utapata ubashiri wako
  7. S

    GE2020 Sukari ilipanda kutoka shilingi 1,800 kwa kilo mpaka 3,000 kwa kilo

    Lakini chai inagongwa tu. Tanzania ni nchi tajiri duniani
Back
Top Bottom