Habari za jioni mabibi na mabwana
natumaini hamjambo nyoote,
Mimi nimekuja kuomba ushauri natambua humu kwenye jukwaa kuna watu tofauti tofauti kwanzia kiumri, kidini, nitatuma, nk.
Mimi ni kijana wa miaka 28 katika kutafuta maisha kwangu nimeamua kuchukua maamuzi magumu ya kuachana na uzinzi...
Naona leo mmetukalia waha kooni.
Acha tuzaane bwana kwani mna tusaidia kutunza? Alafu hilo lakusema waha tuna ukimbia mkoa mbona liko kimchongo? Watu tunasaka fulsa. na si ajabu mleta mada ni msukuma na yuko dar
Kama Uzi unavyo jieleza! leo ndio nimejua nyumba zinaficha mengi . Leo nimeshuhudia ndoa iliyokuwa inatazamwa kama mfano hapa mtaani kwetu inaishia ukingoni.
Baada ya sokombingo kali kati ya mume na mke huku mwanamke huyo akijitoa maneno makali mbele ya watoto wa kuwazaa amesikika akihadithia...
upuuzi mtupu na kumbuka mwaka jana nilifika office za Nida nikiwa na vielelezo kasoro cheti chakumaliza darasa la saba, wakauliza kiko wapi nikawapa maelezo kwamba toka nilivyo maliza shule ya msingi siku fuatiliaga coz niliondokaga mikoani kujitafuta. walinikatalia eti mpaka niwe nacho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.