Chikupe kuongeza nguvu Yanga dhidi ya Mwadui Fc kesho
Baada ya mapumziko ya takribani wiki mbili, vinara wa ligi kuu ya Tanzania Bara Yanga kesho wanarejea 'mzigoni' kwa kuumana na Mwadui fc katika mchezo wa ligi kuu ya Tanzania utakaopigwa uwanja wa Taifa kesho Jumanne, Januari 15 2019
Mchezo...