Recent content by saimon amos

  1. saimon amos

    Nahitaji Balo la viatu vya mtumba

    Mashukuruni kwa mawazo yenu aimanishi Kaka dar ndo kujua Kila kitu Kuna watu Wana kaa dar ubungo awapajui niliuliza kwa maana pindi napotaka kutoka kufwata mzigo nijue natoka na kiasi gan Ila asanten kwa mawazo[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
  2. saimon amos

    Nahitaji Balo la viatu vya mtumba

    Naomben mnisaidie balo la viatu vya mtumba grade A nakuendelea linapatikana kwa shingapi Nipo dar es salaam maeneo ya tegeta
  3. saimon amos

    Kujitegemea

    Nimekuelewa Sana shukrana sana
  4. saimon amos

    Kujitegemea

    Shukran kwa mawazo mapana appreciate
  5. saimon amos

    Kujitegemea

    Asnte kwa ushauri wako
  6. saimon amos

    Kujitegemea

    Napenda kuendelea na kazi ya ufundi Ila Kama unavyo jua Kaz Zina muda wake kunakioindi zipo na hazipo Sasa tatenga muda takuwa natoka saa 12 naendakujichanganya
  7. saimon amos

    Kujitegemea

    Nataka ushauri maana siwezi acha kazi ya ufund Ila nataka kutenga muda mfano ikifika saa 12 jiona natoka na viatu naenda kupambania kombe
  8. saimon amos

    Kujitegemea

    Wadau naomben ushauri na maono yenu katika hili Mimi ni kijana wa miaka 20 nimekua nikijifunza ufundi aluminum Sasa ni mwaka wa pili nakaa kwa shemej yangu Sasa imefika muda mwafaka wa kutoka na kuanza kujitegemea.Nahitaji kuwa na najitegemea nilikuwa na wazo la kuuza RABA za mitumba kutokana na...
  9. saimon amos

    uongozi wafafanua

    Mshambuliaji wa mabingwa wa kihistoria Tanzania @heritier_ebenezer ataukosa mchezo wa kesho dhidi ya Mwadui Fc kutokana na kuwa na kadi tatu za njano. Tofauti na inavyosambaa kwenye mitandao ya kijamii, Makambo yupo na hajatoweka kama wengi wanavyo sema. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. saimon amos

    MAKAMBO ATOWEKA KAMBINI

    kwan unateseks Sent using Jamii Forums mobile app
  11. saimon amos

    MAKAMBO ATOWEKA KAMBINI

    sawa mwananchi Sent using Jamii Forums mobile app
  12. saimon amos

    MAJARIBIO S A

    KUTOKA NDONDO CUP HADI MAJARIBIO SOUTH AFRICA . Ukimuuliza Kelvin Sabato 'Kiduku' Kongwe (jezi namba 7 pichani) kuhusu safari yake ya soka lazima ataitaja Ndondo Cup. Ndio, ukipata fursa hiyo muulize ametokea wapi hadi kufika alipo sasa hivi. Kiduku na wenzake ndio waanzilishi wa Ndondo Cup...
  13. saimon amos

    MAKAMBO ATOWEKA KAMBINI

    Akuna.ajuae Sent using Jamii Forums mobile app
  14. saimon amos

    ADHABU YA CHIKUPE

    -Kamati ya Nidhamu ya shirikisho la soka Tanzania (TFF) imesema Beki wa kati wa klabu ya Yanga, Andrew Vicent Dante hana kesi ya kujibu kwenye kamati hiyo kuhusu kumpiga kichwa mwamuzi wa mchezo kati ya Tz Prisons dhidi ya Yanga uliofanyika December 03, 2018 katika dimba la Sokoine Mbeya. ...
  15. saimon amos

    DANTE FIT

    Chikupe kuongeza nguvu Yanga dhidi ya Mwadui Fc kesho Baada ya mapumziko ya takribani wiki mbili, vinara wa ligi kuu ya Tanzania Bara Yanga kesho wanarejea 'mzigoni' kwa kuumana na Mwadui fc katika mchezo wa ligi kuu ya Tanzania utakaopigwa uwanja wa Taifa kesho Jumanne, Januari 15 2019 Mchezo...
Back
Top Bottom