Recent content by SailorOne1945

  1. S

    Wassira amgomea JPM, asema halipi deni la Commodity Import Support. Akataa wito, Task Force kutuma Polisi. Yeye adai yuko tayari kupigwa pingu!

    Wasira hajakataa deni alichosema kwamujibu wa gazeti la mwananchi ni kwamba alikwisha lipa deni lote kupitia tib bank. Benki hiyo inamdai licha ya kuwepo na vielelezo vya kuonyesha Amelipa. Katika maelezo yake hakumtaja rais Magufuli popote. Kama ni kweli Amelipa , ni kwa nini alazimishwe...
  2. S

    Bollen Ngetti: Dk. Bashiru, Membe si size yako, kaa kimya

    Dr Bashiru Ally alipoteuliwa alisema kazi yake kubwa itakuwa kuleta umoja ndani ya ccm. Tatizo ni kutofautisha kati ya kusema na kutenda. Sasa badala ya kukiunganishachama na yeye ameamua kukigawa. Inawezekana kazi ya kukiunganisha ni ngumu kuliko kukigawa. Hiyo ndiyo sababu ameingia 18 za...
  3. S

    Membe: Rostam wewe ni mwenzetu umekatwa mkia, ukishakatwa mkia hata ujitahidije mkia wako ni mfupi tu...

    Chama cha mapinduzi kinajiingiza katika migogoro isiyokuwa na musingi. Rostam akiwa mshikaji wa Lowassa ndio waliohusika kukigawa chama 2015. Tangu hapo ushawishi wao umeshuka sana licha ya utajiri wao. Hivyo kumtumia Rostam kuanzisha mjadala kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama 2020 ni sawa na...
  4. S

    Tetesi: Tundu Lissu kutua nchini Dec 9, 2019

    Tundu lissu ni shujaa kwa jambo gani. Kujeruhiwa kwa risasi haukumpa ushujaa wala sifa za kuwa Rais. Tanzania isifanywe nchi ya majaribio.
Back
Top Bottom