Hya kaka ila inapaswa. Na wewe ujitaid uwanjan ili kuepuka hzo fitina kaka na nakuomba ujarbu kuondoa fikra za marefa kubeba wenyeji japokua marefa wa kibongo hawana uwezo wa kuchezesha mpira ki ukweli ndio maaan timu ztu zkienda nje hufnya makosa ambayo huyafnya kwenye lig ya nyumban na...
Sasa kama una uhakika hayo maneno ya refa wao yametoka wap au ndio unatafta sababu endapo ukifungwa useme ulisema refa n wao sjategmea na ww utakua na fikra potofu kama hzo badilika broo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.