Kwa wana CCM wameshayazoea haya,cos yalitokea 1995 kwa Mrema yakaisha,yakaja kutokea 2005 kwa Lipumba Pia yakaisha,n? sasa kwa Mamvi nayo yatakwisha,kama kuku vile keshachinjwa sasa anapaparika tu,n? wanajipanga 2025 n? sio 2020 najua itakuwa ni mteremko kwa kwenda mbele,hatutishiki n? Ukimya...