Recent content by Saidingonzi

  1. Saidingonzi

    Wife ameanza kuuza juice mtaani vipi nimruhusu au Nimpige marufuku

    Non sense..hii haiwezekanai kama yeye kaamua ujue kaishawaza chagamoto ndogo ndogo kama hizi..kwa hiyo haitakuwa shida kwake maana alishachunguza challenge
  2. Saidingonzi

    Wife ameanza kuuza juice mtaani vipi nimruhusu au Nimpige marufuku

    Again once a whore always a whore…so ww mwache atakuja kukuuliza siku moja mme wang waonaje na biashara ww usimwambie harsh mpe hongera
  3. Saidingonzi

    Hadi leo sielewi shida ni nini, mimi binafsi siwezi na sidhani kama nitakuja kuweza kufanya ngono na mwanamke asiye wangu!

    Ww ndo unashida yan kaka kama uume ingekuwa pencil ungechonga mpaka iishe nadhani ivyoo…tuwe na kinyaa sio Tamaa tamaa tu
  4. Saidingonzi

    Hadi leo sielewi shida ni nini, mimi binafsi siwezi na sidhani kama nitakuja kuweza kufanya ngono na mwanamke asiye wangu!

    Kaka umenena yan point kubwa chamsingi yy aendelee kuwa ivyo ndani ya msimamo Osijek badilika
  5. Saidingonzi

    Mwandani wangu hajivunii kua na mimi, ni kama anaona sio type yake

    Hii n hoja nzuri sana maana binadamu huwa n kulingana na unachokifanya akn vitabu viwe n vya kujenga
  6. Saidingonzi

    Mwandani wangu hajivunii kua na mimi, ni kama anaona sio type yake

    Sio suluhisho sahih cha kufanya n kuambiana ukweli yan loyalt
  7. Saidingonzi

    Mwandani wangu hajivunii kua na mimi, ni kama anaona sio type yake

    Pole sana kaka .wadada wengi huwa hawaishi uhalisia wao wanafake iliwapate wanachoona kizuri ila sio cha kunipa heshima huwa n watoto wadg siku zote yan tuishi nao kwa akili na kuwasihii kila siku huwa wanabadilika.
  8. Saidingonzi

    Umeumiza watu halafu unataka kuokoka bila kuwaomba msamaha uliowaumiza, hilo haliwezekani!

    Amna ndugu yang..kwan ww huwa hausutwi na moyo kwamba unakosea?
  9. Saidingonzi

    Umeumiza watu halafu unataka kuokoka bila kuwaomba msamaha uliowaumiza, hilo haliwezekani!

    Chamsingi n kujifunza kuikataa dhambi na Tamara ndogo ndogo tukiwa kama vjana I bdo tunanguvu kubwa na ndio tegemzi Iake kwetu
  10. Saidingonzi

    Umeumiza watu halafu unataka kuokoka bila kuwaomba msamaha uliowaumiza, hilo haliwezekani!

    Ni sawa.ila huwa kwa kila mwanadamu huwa kuna roho ya kusita kutenda jambo fulani lisilo jema ila huwa tunapuuzia kuwa liwalo na liwe ambapo huwa tunakosea
  11. Saidingonzi

    Umeumiza watu halafu unataka kuokoka bila kuwaomba msamaha uliowaumiza, hilo haliwezekani!

    Haimanishi ivyo cha msingi n kuwa na hali ya kutaka usafisho na kuweza kumshirikisha Mungu huyo mtu alipo akusamehee.Na kweli utasamehewa
Back
Top Bottom