Kukomfirm ni jambo la msingi sana ila kwa wale walio pangiwa vyuo ambavyo sio chaguo lao ndo inabidi wa apply kutafuta nafasi ya kwenda kusomea wanacho kitaka.
Masiya sidhani kama litakuwepo maana kuna baadhi ya vyuo joining instructions zimesha toka kama IFM&TIA sijaona kipengele kinacho zungumzia kuhusu wanafunzi walio chaguliwa na serikali kwenda kusoma katika hivyo vyuo,ada walizo andika ni zilezile tuu za siku zote.
Naomba kuuliza kuhusu wanafunzi walio pangiwa kwenda vyuo kwa mwaka huu,nahisi wengi wao wamepangiwa kwenda kusoma course ambazo hawaja panga kusomea katika maisha yao wengine wanaweza wakawa na nia ya kusomea uhasibu na kwenda kutupiwa katika chuo cha ualimu wa shule za msingi.
Swali langu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.