Recent content by SAIDI MWINYIMVUA

  1. SAIDI MWINYIMVUA

    JamiiForums Tanzania Kama una ndoto ya kwenda Ulaya, Marekani, Canada n.k, pitia uzi huu

    French siijui lakini naamini haitakuwa kikwazo kwangu ispokuwa nataka kufahamu kuhusu ghalama za maisha katika huo mji wa Montreal maana Toronto inaonekana ni expensive sana kuendesha mambo
  2. SAIDI MWINYIMVUA

    JamiiForums Tanzania Kama una ndoto ya kwenda Ulaya, Marekani, Canada n.k, pitia uzi huu

    Je mji wa Montreal vipi?
  3. SAIDI MWINYIMVUA

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu duniani wanakimbilia Ulaya na Marekani kuliko China, Urusi na washirika wake?

    Kiukweli wewe tembea sana ila kama ikiwa bado haujaitembelea usa wewe bado itakuwa bado haujatembea
  4. SAIDI MWINYIMVUA

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu duniani wanakimbilia Ulaya na Marekani kuliko China, Urusi na washirika wake?

    Kiukweli wewe tembea sana ila kama ikiwa bado haujaitembelea usa wewe bado itakuwa bado haujatembea
  5. SAIDI MWINYIMVUA

    JamiiForums Tanzania Kama una ndoto ya kwenda Ulaya, Marekani, Canada n.k, pitia uzi huu

    Nenda YouTube andika dnyota,ebm,jack wa usa na tonny vlogging hao wote wana deal na mambo ya usa yaani utashiba madini ya uko mbele.
  6. SAIDI MWINYIMVUA

    JamiiForums Tanzania Kama una ndoto ya kwenda Ulaya, Marekani, Canada n.k, pitia uzi huu

    Hao wamekuja Tanzania kufanya utalii maana kiutafutaji hauwezi kuifananisha Tanzania na mataifa hayo makubwa ya marekani na Canada alaf tena wamekwambia wanafanya biashara ya kawaida kimsingi hayo mataifa katika ngazi ya maendeleo yoyote ya kidunia yapo class A kwaiyo mtu wa mataifa hayo hawezi...
  7. SAIDI MWINYIMVUA

    JamiiForums Tanzania Kama una ndoto ya kwenda Ulaya, Marekani, Canada n.k, pitia uzi huu

    Ngoja tuongeze juhudi kusaka pesa ili tuingie usa
  8. SAIDI MWINYIMVUA

    JamiiForums Tanzania Uislam ni dini inayoleta vurugu na kuharibu amani ya ulimwengu

    Kwaiyo na hao wanaotetea mashoga nao ni dini gani? au kwako ushoga ni sawa tu?
  9. SAIDI MWINYIMVUA

    JamiiForums Tanzania Majizo na EFM Radio yako huu Utangazaji wa Kinafiki na Majungu wa Watangazaji Maulid Kitenge na Twalib Muwa utaiponza Radio yako

    Jemedar saidi na wenzake mbona haukuwataja km na wao hawana weledi kwenye kazi yao maana wao kila siku wana deal na mambo ya yanga tu tena yenye lengo baya?
  10. SAIDI MWINYIMVUA

    JamiiForums Tanzania Je, kuna mwana Yanga mwenye hofu na Mudathir Yahaya?

    Siku aliyo tambulishwa Mudathir Yahaya baadhi ya mashabiki wengi wa Yanga waliokusoa uongozi kuwa wamesajili galasa, hali ya kuwa wengi hawakujuwa uwezo halisi wa uyo mchezaji. Sasa je, katika izi mechi mbili za Mapinduzi alizocheza kwa tulivyoona uwezo wake kuna mwananchi yoyote mwenye...
  11. SAIDI MWINYIMVUA

    JamiiForums Tanzania Serikali isizuie watu kwenda kufanya kazi Falme za Kiarabu bali itengeneze mazingira maalumu ya watu kuwa salama wawapo huko

    Wewe unajua anavyoishi apa yupo salama?km ww una mipango na maisha yko yanaenda vzr shukuru ila usione lahisi izo ajira zenu za kitumwa
  12. SAIDI MWINYIMVUA

    JamiiForums Tanzania Serikali isizuie watu kwenda kufanya kazi Falme za Kiarabu bali itengeneze mazingira maalumu ya watu kuwa salama wawapo huko

    Bora hao wenye roho mbaya kuliko hao wenye roho nzuri wanaotaka wanaume wawe mashoga kama wewe shoga hautanielewa ila utaleta hoja za kishoga tu
Back
Top Bottom