Recent content by Said Shagembe

  1. Said Shagembe

    Ni ipi sauti huru ya walimu?

    Hahahaaa! Deni tena
  2. Said Shagembe

    Ni ipi sauti huru ya walimu?

    Hahahaaaa! Hata haijulikani
  3. Said Shagembe

    Ni ipi sauti huru ya walimu?

    Ni ipi hasa sauti ya walimu katika taifa letu? Je, ni sauti inayosikika, inayoheshimiwa, inayotetewa? Au ni sauti iliyozimwa kwa hofu, ukimya, na matumaini hewa? Walimu ndio wanaochonga maisha ya kila kada ya jamii – wanasheria, madaktari, wahandisi, hata viongozi wa kisiasa – wote walipitia...
  4. Said Shagembe

    Uhuru wa kiuchumi

    Tukumbushane na tusisahau kuwa uhuru wa kifedha unaepusha fedheha isiyo ya lazima inayotokana na ukosefu wa fedha. #financialfreedom
  5. Said Shagembe

    Ajira za Utumishi wa Umma ziwe za mkataba wa muda maalumu kwa kada zote

    Lakini unaamini kama wapo watumishi ambao hawazipendi kazi zao ama mahali wanakofanya kazi?
  6. Said Shagembe

    Ajira za Utumishi wa Umma ziwe za mkataba wa muda maalumu kwa kada zote

    Ningepewa nafasi ya kuhudumu kama mwajiri ningebadilisha taratibu zote za UTUMISHI wa UMMA kutoka kuwa ajira za kudumu mpaka mkataba wa mwaka mmoja. Naamini hakuna anaependa kutumika maisha yake yote, hivyo wanaochoka nafasi hizo wawaachie wale wanaozitaka. Hii itaongeza chachu ya utendaji...
  7. Said Shagembe

    Maisha na Bajeti

    Katika jamii yetu kawaida ya watu wanashindwa kufikia malengo Yao kutokana na kile wanachoamini kuwa kipato hakitoshi. Kiuhalisia ukimuuliza matumizi yake ni shi ngapi kwa mwezi au kwa siku hawezi kulipa jibu la moja kwa moja kwani wengine wao hutumia kulingana na kile anachokipata kwa siku...
  8. Said Shagembe

    Nimekopa nadaiwa zaidi ya Tsh. Milioni 30, maisha magumu na mshahara hautoshi. Nafikiria kuacha kazi

    Pole sana na yaliyokukuta, lakini amini kwenye kutokukata Tamaa na usimame wewe kama wewe. Kuanguka kupo kwenye maisha na ni Moja hatua ambazo mtu hupitia kwenye mchakato mzima wa kuyafikia mafanikio. Nadhani unayonafasi ya kuweza kusimama imara na kuyashinda magumu unayopitia. Jipe moyo wewe...
  9. Said Shagembe

    Elimika na Elimisha

    Hakikisha unakuwa mwalimu wa mwenzio, toa maarifa tuliyonayo kwa wengine. Namna unavyojiona wewe wa thamani ndivyo hivyo unapaswa kuwathamini wengine. Tuishi kwa upendo tukielimishana na kufahamishana ili tujenge jamii na Taifa lililoimara. Jamii na nchi yetu tutaijenga wenyewe na kama...
Back
Top Bottom