Habari zenu wanaJF.
Samahanini jamani nilikuwa naomba kueleweshwa jinsi gani naweza ku-install mchezo wa FIFA 14 kwenye PC yangu yenye window 8.1 pro kwan nimejaribu kila njia lakn cjafanikiwa.
Msaada kwa mwenye kufahamu.
Mmi ninchokiona n kwamba kwa kuwa wanafunzi weng was udom ndo tatzo linawakuta hii in kutokana na kwamba chuo bado hakijafunguliwa..
Mkurugenzi alisema watatoa Mikopo kwa kuangalia tarehe za kufunguliwa chuo husika.
Nawasilisha
Habari wanajf.
Nilikuwa nauliza madhara ya kuhama kozi katika chuo hicho ulichopangiwa na Mikopo inakuaje kama umepata alafu unahamia kozi nyingine je kunakuaga na shida gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.