Nafikiri huna hata redio chumban kwako na unachofanya kwa sasa ni kutafuta cha kuongea! Kama unaipenda nchi basi ongea interahamwe waache upuuzi na kama kweli wewe una data basi mjibu warioba(Father of Tanganyika) maswali yote aliyouliza interahamwe na wafuasi wao kama wewe
Tanzania ina wasanii wengi sana na hao ni pamoja na rais kikwete. eti kamvisha warioba nishan ya utumish bora ndani ya muungano nani kasema?
Je kuna siku anga itaungana na ardhi? Warioba anafahamu kuwa ndani ya CCM wanataman hata kusikia mzee warioba amebadilika na kuungana nao!
Mbona...
UKAWA ni muhimu sana kwa vile ni sehem ya bunge la katiba. ni viongoz wenye fikra pevu tena wenye kuiweka nchi mbele na si chama wala matumbo ya kama wanavyofanya wez waliobak bungen na ndo maana wanahs wananch watazjua nyendo zao kweupe. UKAWA KAZENI UZI.
Rafki yangu unapoandika think first! sikushangai kwa vile hata wakati Nyerere na wenzake wnadai uhuru wa Tanganyika kuna watu kama wewe walisema kuwa nyerere na kundi lake walikuwa ametumwa na wazungu kuvuruga safari ya ukombozi wa nchi! Ji lazma kuchangia hoja kama huna wazo...
Ndugu zangu wanaJf hiv nyie hotuba ya kikwete ya jana mmeielewa vipi? kikwete amepewa nchi ili atutishe kwa kutumia jeshi letu? n
kumbe ule msemo wa kiingereza like father like son hapa kwetu kwa sasa umeshika kas ! Nchi hii lazma ikombolewe na sisi wana wa nchi hii na hii hatajarisha tunatishwa...
Hakna kwenda maana wanataka wachukue picha waoandanye kwamba mnaunga sera zao kandamiz dhid watanzania makni wanaodai uhuru wa kiuchum, kisiasa na kijamii Dhihirishen kwamba mnajua kile wanachowatendea watanzania ndani ya nchi yao
until the sun set patriotic people will be fighting for their nation! Who bewitched you? I what u are trying to deceive but nothing u will trap coz we all know what is happening within CCM.
Nafkr unajarib kufunika watu blanket la ujinga! umechelewa sana. Tanzania itatetewa na watanzania wazalendo wa kweli tena wanaopenda ukweli! WARIOBA NA BUTIKU wameandika kile ambacho wazalendo walitaka kifanyike , siwez kushangaa kwa vile watu kama wewe ndo wanaimaliza nchi!
Kufikiria kabla ya kusema ni tabia ya watu wenye busara na ukiona huna cha kuandika ni kuacha kuliko kuonesha ni kiasi ulivyojaa ujinga na mitazamo finyu dhidi ya wale wanaotetea nchi hii! KAMANDA MBOWE tunakutegemea sana kwenye safar ya kuimboa nchi hii!
NIMEJUWA SASA KWAMBA MWAKYEMBE ELIM YAKE INA MASHAKA KWANI KAPINGA KILE KILICHOTUMIKA KUMPATIA PhD NA JE YUKO TAYARI KWENDA MBELE YA WALE WALIOMTUNUKU PhD NA KUWAELEZA KUWA ALIWADANGANYA! KWA MWENDO HUU SINA IMAN TENA NA UTENDAJI KAZ WA MWAKIEMBE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.