True. Huyu mtu hapo tu ndipo anaponishangazaga, mpaka saa ingine mtu unadhani au ni deals tu za kisiasa anacheza? Mbona anauvumilivu ambao si wa kawaida? Ila all in all this guy kwa picha ya nje he is exceptional. Cjui matendo yake ya ndani so no comment.
EL hana sababu ya kutokutoa mkono kwa JPM kwani anamtambua kama raisi, hajawahi kusema kuwa hamtambui, kule kwa kina shain hawatambuani na mikono wameona wasipeane. Mazingira ni tofauti.
Kama polisi imeshindwa kuwazuia waandaaji wa maandamano basi hakuna sababu ya kupiga raia wake, kama kweli maandamano ni batili basi wawakamate waandaaji sasa kwani wanavunja sheria, wakishindwa basi hayo maandamano yatapata wafuasi ambao ni ndugu zetu. Kama mtu alipata watu wa kudeki barabara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.