Hapan
Hapana, Division zero ilianza zamani tu, ni kweli cheti hupewi lakinimuhtasari wa matokeo yako upo necta na unapatikana, nadhani hicho ndicho alichonacho Askofu Gwajima. Mtu pekee anayeweza kumaliza utata huu ni daudi mwenyewe kutoka hadharani na kuweka vyeti mezani. Ajabu yeye anenda...
Nchi hii kwa vituko, tusije kuambiwa tu ooh ule haukuwa uvamizi ila ni movie fulani ya action ambayo Bashite anashiriki na pale walikua wanarekodi, najaribu kuwaza tu kwa namna ambayo awamu hii inajiendea
Hee kumbe mlivyoambiwa msiende kumuona Lema na msiwape wapinzani wenu muda wenu wa kuchangia hoja na pia kutoipinga serikali badala ya kujibu hoja mkaanza kulia, kweli chama kimekata pumzi. La Bashite tumelianzisha sisi na tutalimaliza sisi wenyewe. Wewe kaa uone mwisho wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.