Kama mimi nimemaliza 2020 waliifuta diploma ya ualimu tukaishia kutokua na muelekeo natamani ifike mahali hata wanaoisomea wawe wanathaminiwa walimu mpaka wanaamua kufanya biashara zingine ili waweze kujikimu kwenye maisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.