Jamani nimerudi tena itabidi munizoee tu . Eti ukikata rufaa bodi ya mikopo kama umepata kidogo . Ule wa mwanzo wanaweza kuuchukua na unaweza kukosa kabisa. Au wanakuachia?.
Wapwa naombeni msaada. . Dirisha la kukata rufaa limefunguliwa RASMI HELSB tar 13/11/2022 .Nimepata mkopo ila sijaridhishwa na kiasi cha mkopo nilipata . Je naweza kukata rufaa?
Mimi ni mwanafunzi ambaye Nimechaguliwa chuo cha Mwenge Catholic university.
Hata hivyo Mimi ni mgeni sina ndugu
Hivyo kwa mwenyeji wa moshi ninaomba msaada WA ghetto au chumba
Pia nahitaji kuijua gharama zake
Wapendwa naombeni msaada hivi course ya procurement and supply chain management inajihusisha na nini sana sana?
Na ajira zake zikoje upatikanaji wake.
Au kwa upande kujiajiri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.